Kama hujajenga na mshahara wako ni wa kuunga unga, usipite karibu na Tumaini ya Dar!

Kama hujajenga na mshahara wako ni wa kuunga unga, usipite karibu na Tumaini ya Dar!

Bemendazole

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2020
Posts
2,649
Reaction score
6,680
Asikwambie mtu chuo kinapendezaa. Hawa 1st year walioshushwa hapa ni wa kiwango cha kimataifa.

Nimeshazunguka kwenye major varsities kama UDSM, IFM, SUA, UDOM, Iringa University na SAUT kwa hiyo nazijua standards za vyuo vikuu.

Yaani kama nyumba yako sijui ndio kwanza iko kwenye lenta au sijui mshahara wako ni ule wa kima cha chini, chonde chonde, usikatishe Coca cola road.

Dont say I didn't warn u!
 
Asikwambie mtu chuo kinapendezaa. Hawa 1st yr walioshushwa hapa ni wa kiwango cha kimataifa.
Nimeshazunguka kwenye major varsities kama Ud, IFM, Sua, Udom, Iringa unv na Sauti kwa hiyo nazijua standards za vyuo vikuu.
Yani kama nyumba yako sijui ndio kwanza iko kwenye lenta au sijui mshahara wako ni ule wa kima cha chini, chonde chonde, usikatishe Coca cola road.
Dont say I didnt warn u!
Kawaida sana mm napita kila siku
 
Asikwambie mtu chuo kinapendezaa. Hawa 1st yr walioshushwa hapa ni wa kiwango cha kimataifa.
Nimeshazunguka kwenye major varsities kama Ud, IFM, Sua, Udom, Iringa unv na Sauti kwa hiyo nazijua standards za vyuo vikuu.
Yani kama nyumba yako sijui ndio kwanza iko kwenye lenta au sijui mshahara wako ni ule wa kima cha chini, chonde chonde, usikatishe Coca cola road.
Dont say I didnt warn u!
[emoji3516]
HUJAWAONA MABINTI WAUZA MBOGAMBOGA NA MATUNDA WA TEGETA KWA NDEVU WEWE-
NI MAPINI HADI UNAWEZA UKANUNUA BESENI ZIMA LA MAPARACHICHI ILI UPEWE "BUMUNDA"!!!
 
Asikwambie mtu chuo kinapendezaa. Hawa 1st yr walioshushwa hapa ni wa kiwango cha kimataifa.
Nimeshazunguka kwenye major varsities kama Ud, IFM, Sua, Udom, Iringa unv na Sauti kwa hiyo nazijua standards za vyuo vikuu.
Yani kama nyumba yako sijui ndio kwanza iko kwenye lenta au sijui mshahara wako ni ule wa kima cha chini, chonde chonde, usikatishe Coca cola road.
Dont say I didnt warn u!
Waacheni watoto wasome
 
Hizi zilipendwa asee siku hizi unampa 50000 kwa mwez inatosha
 
Ila kiukweli hapa SUA kuna watoto kinouma hasahasa hapa Mazimbu ndani... Ni shida
 
Unamaanisha hapa
images.jpeg
 
Kwamba hao 'mademu' wanakula tofali au mabati?
swali la msingi Sana...

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

wengine sisi tukishajua binti ni mwanafunzi mzuka wa uzinzi unayeyuka.
 
Back
Top Bottom