Kama hujajenga na mshahara wako ni wa kuunga unga, usipite karibu na Tumaini ya Dar!

Kama hujajenga na mshahara wako ni wa kuunga unga, usipite karibu na Tumaini ya Dar!

Asikwambie mtu chuo kinapendezaa. Hawa 1st year walioshushwa hapa ni wa kiwango cha kimataifa.

Nimeshazunguka kwenye major varsities kama UDSM, IFM, SUA, UDOM, Iringa University na SAUT kwa hiyo nazijua standards za vyuo vikuu.

Yaani kama nyumba yako sijui ndio kwanza iko kwenye lenta au sijui mshahara wako ni ule wa kima cha chini, chonde chonde, usikatishe Coca cola road.

Dont say I didn't warn u!
Nilitongoza kama 7 hivi na Wote kabla ya kutaka kwenda ' Kuwabandua ' nilienda nao Kupima ' Dally Kimoko Solo Guitar Virus ' na kujikuta nipo Salama na Wao wameshaanza ' Kulikung'uta ' vizuri hilo Gitaa na kusema ' sitotongoza ' tena Mademu wa hapo na nitaendelea Kujikita tu na wa Muhimbili Chuoni ambao wengi wao ni ' Ukimwiless ' kabisa.
 
In short wasichana wengi wazuri wa sura na umbo huwa wana iq ndo hivyo huwa ni adimu vyuo vyenye ishindani kuingia kitaaluma ndo maana mzumbe udsm mademu sura za baba ila ukienda pale mwalimu nyerere au ifm utaacha hati ya urithi
 
watu wanatembea na beki tatu ww unasema hao wa chuo ? mtu kama ni mzinzi atazini tu hata na beki tatu toka makete.
 
Back
Top Bottom