Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Come n see! Tembea uone...Acha uzinzi.
Kawaida sana mm napita kila sikuAsikwambie mtu chuo kinapendezaa. Hawa 1st yr walioshushwa hapa ni wa kiwango cha kimataifa.
Nimeshazunguka kwenye major varsities kama Ud, IFM, Sua, Udom, Iringa unv na Sauti kwa hiyo nazijua standards za vyuo vikuu.
Yani kama nyumba yako sijui ndio kwanza iko kwenye lenta au sijui mshahara wako ni ule wa kima cha chini, chonde chonde, usikatishe Coca cola road.
Dont say I didnt warn u!
Ana maana hela za kununulia mabati na tofali utawapa hao wanachuo!Kwamba hao 'mademu' wanakula tofali au mabati?
[emoji3516]Asikwambie mtu chuo kinapendezaa. Hawa 1st yr walioshushwa hapa ni wa kiwango cha kimataifa.
Nimeshazunguka kwenye major varsities kama Ud, IFM, Sua, Udom, Iringa unv na Sauti kwa hiyo nazijua standards za vyuo vikuu.
Yani kama nyumba yako sijui ndio kwanza iko kwenye lenta au sijui mshahara wako ni ule wa kima cha chini, chonde chonde, usikatishe Coca cola road.
Dont say I didnt warn u!
Waacheni watoto wasomeAsikwambie mtu chuo kinapendezaa. Hawa 1st yr walioshushwa hapa ni wa kiwango cha kimataifa.
Nimeshazunguka kwenye major varsities kama Ud, IFM, Sua, Udom, Iringa unv na Sauti kwa hiyo nazijua standards za vyuo vikuu.
Yani kama nyumba yako sijui ndio kwanza iko kwenye lenta au sijui mshahara wako ni ule wa kima cha chini, chonde chonde, usikatishe Coca cola road.
Dont say I didnt warn u!
Mkuu nipe connection ya hapo Sua nije nivute kamojaIla kiukweli hapa SUA kuna watoto kinouma hasahasa hapa Mazimbu ndani... Ni shida
swali la msingi Sana...Kwamba hao 'mademu' wanakula tofali au mabati?
Wamewazidi barmaid wa makirikiri?Ila kiukweli hapa SUA kuna watoto kinouma hasahasa hapa Mazimbu ndani... Ni shida