Kama hujajenga na mshahara wako ni wa kuunga unga, usipite karibu na Tumaini ya Dar!

Nilitongoza kama 7 hivi na Wote kabla ya kutaka kwenda ' Kuwabandua ' nilienda nao Kupima ' Dally Kimoko Solo Guitar Virus ' na kujikuta nipo Salama na Wao wameshaanza ' Kulikung'uta ' vizuri hilo Gitaa na kusema ' sitotongoza ' tena Mademu wa hapo na nitaendelea Kujikita tu na wa Muhimbili Chuoni ambao wengi wao ni ' Ukimwiless ' kabisa.
 
In short wasichana wengi wazuri wa sura na umbo huwa wana iq ndo hivyo huwa ni adimu vyuo vyenye ishindani kuingia kitaaluma ndo maana mzumbe udsm mademu sura za baba ila ukienda pale mwalimu nyerere au ifm utaacha hati ya urithi
 
watu wanatembea na beki tatu ww unasema hao wa chuo ? mtu kama ni mzinzi atazini tu hata na beki tatu toka makete.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…