Kama hujaoa/olewa unaliweza hili?

unajua si vizuri kufanya kila kitu walichoona kwenye porn..
maana hao porn star ni ma profession kwenye hiyo idara...

kama hawana mpango wakuoana na wamekubaliana"basi maisha mbele kwa mbele"

lakini kesho wasije singizia pombe..
maana haina makosa yeyote..
 
No comment nilikuwa napita 2!!!
Lakini muulize kwanza yeye aliamua nini coz kakuuliza wakati keshafanya anatafuta ushauri wa nini??!!
 
Aaaggqhh!
Hao mademu watakuwa wanakunya akili.
 

Join DateThu Jun 2009LocationWhen the time comes u shall know.But 4 now,simply watch the destructions that I can cause from afar.

hiyo location yako imekama attention yangu si mchezo
hahahahaha lol
 

Nasikia mtu anafanya vituko akilewa eti kesho yake hakumbuki kuna mshikaji wangu alinipa siri alisema unakuwa unakumbuka ila inabidi upotezee eti "hukumbuki" hehehehe

Hiyo ya huyu jamaa kwenye reproduction tulisoma inaitwa uchevushaji pweke............
 

Bongo kuna Swingers siku hizi?
Mimi nisingekubali. Changu ni chakwangu. Period:roll:
 
Ni wapumbavu na hawapendani wala kujali hatma zao binafsi na za mahusiano yao.......
Mwanaume/mwanamke mnayependana kweli na kuheshimiana haweza kushauri wala kufikiria upuuzi kama huo :A S thumbs_down::coffee::A S thumbs_down:
 
mngemegeana tu but baada ya hapo uhusiano na hao mabint unaisha!!
 
Ni wapumbavu na hawapendani wala kujali hatma zao binafsi na za mahusiano yao.......
Mwanaume/mwanamke mnayependana kweli na kuheshimiana haweza kushauri wala kufikiria upuuzi kama huo :A S thumbs_down::coffee::A S thumbs_down:

You ara right mydear:clap2:
 
HAO WOTE HAMNAZO,,,,,,,,,,,,,,,,,,,. UZUNGU UKIZIDI BWANA!!:angry:
 
Ni wapumbavu na hawapendani wala kujali hatma zao binafsi na za mahusiano yao.......
Mwanaume/mwanamke mnayependana kweli na kuheshimiana haweza kushauri wala kufikiria upuuzi kama huo :A S thumbs_down::coffee::A S thumbs_down:

kitakachofuatia watafanya the same to all their friends! ******
 
huo ni uchangudoa, hao mabint ni malaya na wanajijua so ndio ikawa rahisi wao kupropose huo uchafu... hapo nikuchapa na kuwapiga chini
 
Simple! Ningekuwa mimi ningekataa. Mambo ya kishamba ya kubadilishana mademu, ili iweje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…