Kama hujawahi kuendesha hizi gari tano, KAJITAFUTE!

Hater hawakosekani mkuu.

You tube kuna jamaa wanafanya review za simu mpaka wivu. Kama unajua haya mambo mkuu fungua channel utapiga hela hata za matangazo ya hayo magari.

Sisi watanzania ku appreciate ubora wa mtu ni ngumu sana.

Mimi kwa sasa kabla sijanunua kitu lazima nipitue review mbali mbali ndio nifungue mfuko. Hii habari yako wspo itakaowasaidia labda ueleze zaidi hasa kwa wanaotaka kununua.

Mfano binafsi ningependa nijue sana kuhusu hybrid car hizi zipoje, na je zinatumia mifumo yote ya nishati na ubora wake upoje.

Je umetumia gari za umeme hapa Tanzania?
 
1.*Ukipata demu mweupe halaf mfup kidogo, huyu anakuwa mtamu kias chake, na haswa ukimpata club ndo utaenjoy kama hujawah pata mwanamken club blaza bas jitafute

2. Demu Mweusi halaf mrefu, kama umewah kutembea mikoa ya kigoma pamoja na wale weny asili ya Rwanda. Sifa kuu wa wanawake hawa wanajua kupenda sana. Kama hujawah kupata demu wa sehem hizi jitafute Broo

3..mwanamke maji ya kunde halaf nyuma Ana bambataa, hawa wanapatikana kanda ya kati haswa dom na singida, ni wazur sana. Kama hujawah kupata mwanamke wa kanda ya kati jitafute brother

4. Kuna wanawake maji ya kunde halaf hawana bambataaa, hawa wanapatikana kilimanjo na arusha kidogo, sifa kubwa hawa wanapenda hela sana na wanajua kupenda. Kama hujawah pata pisi ya Arusha au kilimanjaro jitafute brother hujui wanawke bado ( natania tuu baada ya jamaa kuja na inshu ya magari wakat wengne hata baiskel tuu hatuna)
 
Mpambanishe RANGE ROVER na MERCEDES BENZ S CLASS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…