Kama hujawahi kushiriki thread hizi basi hujui utamu wa JamiiForums

Kuna thread za wanawake wenye tyako....
nadhani hiyo ndio funga kazi na thread ya beer
 
Kuna ule Uzi wa picha za warembo niliingia kwa bahati mbaya kusoma soma tu aisee kule ndo niliona watu jinsi walivyo bahati nzuri nikagutuka usingizini kumbe nilikosea thread aisee nikasepa taratibu huku nikisitasita
 
Hahahahaaaa kweli mkuu. Mimi hata sijawahi kujua mantiki ya threads kama zile aisee
 
biashara za badoo
 
Kuna ule Uzi wa picha za warembo niliingia kwa bahati mbaya kusoma soma tu aisee kule ndo niliona watu jinsi walivyo bahati nzuri nikagutuka usingizini kumbe nilikosea thread aisee nikasepa taratibu huku nikisitasita
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…