The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
hahahahahah lol
umenichekesha..
halafu hayo maneno yote yanaonekana uwongo mtakatifu lol
Hamna uwongo tena unayasema ukiwa umepiga goti moja huku ukiwa umeshikilia ua ulilolipulizia perfume ili ajue kweli unafikiri atakataa lol!!!!!!!!!!!
Mhh!! iantaka kuendana na ile ya kusukuma Mlevi kwenye slope ya infinity ..Hahaha! Kwa hiyo alivyorusha kombora, hapo hapo akakubaliwa na mambo ya kutesti kama ni mtambo au kabamia yakaanza? Hapa najua siwezi gongewa senksi. Najua kabisa! Labda baadhi ya wapwa.
mmmmmhhh
usinifanye ni sahau kuhusu hizo paper hahhahahah lol
Hazitoki zile piga au
ha ha ha ndio yeye jina lake tofauti na mashairi yake, umesema tayari una TF maana yake nini?
Mimi nilimpataga my wife wangu mwenyewe kwa kumwandikia mistari ya hardcore hip hop 🙂
Kama hii?
I'll lay down my jacket so you can walk over a puddle
Lie together, cry together, I swear to God I hope we f**king die together
When I dream of fairy tales I think of meeting you; see you're my type of hype and I can't stand when brothers tell me
Kiswahili ngumu bana,you know whats up how you doin shawty, do you feel me, can i have your number so that me and you can hook sometime you know i love a down to earth chick like you...ha ha ha ha bongo nomaaa mazeee
Siku hizi kwa kina dada esp. maduu wamesahau kiswahili kabisa na baadhi yao hata hawajawahi kusafiri na kufika Nairobi achania mbali USA/EURO kwa mfano ukikutana na mdada mlimani city ukamuuliza kitu labda sehemu flani ni wapi? .... utasikia nafikiri(itakavyo tamkwa burudani tosha) keep right then ask s/body utakayemwona ila walikagakumove to new place i think wapo karibu(itakavyo tamkwa burudani tosha).
Ukimkuta ulievutiwa naye ukute unataka kumfahamu zaidi ataangusha swagger la kufa mtu, am busy right now labda na na nazani u-u-ngechukuwa or Y cant I get ur no. na na na nita I mean will call u right back nikiwa free, nafikiri itakuwa pouwa... is that ok with u? Maneno ni yakutafutaaaa mpaka anakata stimu. Ukimkuta aliyesoma ST. MAMA YETU ZILE ndio balaa kabisa.
Na wewe usipochangia kwa kutupa neno 1/2 ya kidhungu ushamkosa mtu baada ya miaka 5 ......sijui?
Mawazo mgando!!Siku hizi kwa kina dada esp. maduu wamesahau kiswahili kabisa na baadhi yao hata hawajawahi kusafiri na kufika Nairobi achania mbali USA/EURO kwa mfano ukikutana na mdada mlimani city ukamuuliza kitu labda sehemu flani ni wapi? .... utasikia nafikiri(itakavyo tamkwa burudani tosha) keep right then ask s/body utakayemwona ila walikagakumove to new place i think wapo karibu(itakavyo tamkwa burudani tosha). Ukimkuta ulievutiwa naye ukute unataka kumfahamu zaidi ataangusha swagger la kufa mtu, am busy right now labda na na nazani u-u-ngechukuwa or Y cant I get ur no. na na na nita I mean will call u right back nikiwa free, nafikiri itakuwa pouwa... is that ok with u? Maneno ni yakutafutaaaa mpaka anakata stimu. Ukimkuta aliyesoma ST. MAMA YETU ZILE ndio balaa kabisa. Na wewe usipochangia kwa kutupa neno 1/2 ya kidhungu ushamkosa mtu baada ya miaka 5 ......sijui?
Ndio akili yako? ndio maana uko hivo basidemu yoyote yule ni HELA TU!,ANKARA,MKWANJA,CHAPAA.hata awe nani sijui unaua kiulainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Nguli hujambo? ?Ni kweli usemavyo Dada kuwa ni mawazo mgando, hizo ni fikra zako kwa kuwa thread imegusa hisia zako.
Nguli hujambo? ?
AD mzima weye lakini? Mbona sms na calls zimekata tena au kwa sababu kithungu changu cha kuunga? Na mengi ya kukwambia hebu ring basi tuchonge...number sijabadili na kama umeifuta.......