Kama hujui English unaweza kutongoza kweli?

Kama hujui English unaweza kutongoza kweli?

hahahhhahaahhah lol
uuhhh mbavu zangu sina hamu lol

aaaiiiiii kweli umenichekesha..
uanitongoza kama tuko shulea vijidudu lol
aaaa we hufai lol

Mdogo mdogo si unajua tunaanza from the scratch
 
Hai Baba_Enock, longi tyme not seen, what makes you bize?

By ze way, unapendilia kinywaji geni?

Ok, serengeti colid,!

I sink we nidi to eati somesing, sawa ehe?

kukhu nusu na chpzi meyai is inafu for me!
hahaha Kama naona vile anvyobenua mdomo lol...
 
Hai Baba_Enock, longi tyme not seen, what makes you bize?

By ze way, unapendilia kinywaji geni?

Ok, serengeti colid,!

I sink we nidi to eati somesing, sawa ehe?

kukhu nusu na chpzi meyai is inafu for me!

hahahhahah lol hii imekaa kama kile Kiswahili cha Kenya..
sijui wanaita Shaggy lol
 
hahaha Kama naona vile anvyobenua mdomo lol...

Halafu sorry i don't eat beans i am allergic to them, excuse me can i get fresh chicken fried with fries make it quick i am so hungry, if you don't mind can you buy for me Vodacom credit 5000 please i need to call my auntie hope you don't mind, thanks for the lunch can you please pay for my taxi you are so kind actually you are such a gentlemen hey that's my number when i am free i will let you know ....huyo anaingia kwenye teksi ndukiii lol!!!!!!!!!
 
Siku hizi kwa kina dada esp. maduu wamesahau kiswahili kabisa na baadhi yao hata hawajawahi kusafiri na kufika Nairobi achania mbali USA/EURO kwa mfano ukikutana na mdada mlimani city ukamuuliza kitu labda sehemu flani ni wapi? .... utasikia nafikiri(itakavyo tamkwa burudani tosha) keep right then ask s/body utakayemwona ila walikagakumove to new place i think wapo karibu(itakavyo tamkwa burudani tosha).

Ukimkuta ulievutiwa naye ukute unataka kumfahamu zaidi ataangusha swagger la kufa mtu, am busy right now labda na na nazani u-u-ngechukuwa or Y cant I get ur no. na na na nita I mean will call u right back nikiwa free, nafikiri itakuwa pouwa... is that ok with u? Maneno ni yakutafutaaaa mpaka anakata stimu. Ukimkuta aliyesoma ST. MAMA YETU ZILE ndio balaa kabisa.

Na wewe usipochangia kwa kutupa neno 1/2 ya kidhungu ushamkosa mtu baada ya miaka 5 ......sijui?

Nimecheka sana nlishakutana na wa hv kibao nikaanza kuwampa cha ukweli mwisho wa siku ni kunyuka tu katikati ya kipago
(udhungu kwisha) mali ishaliwa teyari
 
Halafu sorry i don't eat beans i am allergic to them, excuse me can i get fresh chicken fried with fries make it quick i am so hungry, if you don't mind can you buy for me Vodacom credit 5000 please i need to call my auntie hope you don't mind, thanks for the lunch can you please pay for my taxi you are so kind actually you are such a gentlemen hey that's my number when i am free i will let you know ....huyo anaingia kwenye teksi ndukiii lol!!!!!!!!!

hahaahahah lol
jinsi ulivyoandika ni kama yamewahi kukutokea dear lol
 
ah ah ah mashalo balo eeeh?
Hai Baba_Enock, longi tyme not seen, what makes you bize?

By ze way, unapendilia kinywaji geni?

Ok, serengeti colid,!

I sink we nidi to eati somesing, sawa ehe?

kukhu nusu na chpzi meyai is inafu for me!
 
Haya huwa yanawakuta wale Mabrazameni na Masharobaro

mmmhh mie ndo nasema kiswahili ndo kitamaliza hizi shida zote....

we fikiria mzungu ambae hajui kiswahili vizuri..
anamtongoza msichana wa kiswahili kwa kiswahili..

hayo ndo mambo amabyo wabongo wengi tunafanya..
kama kweli lugha inaku babaisha borea uiachilie mbali kuliko kujiumbua lol
 
mmmhh mie ndo nasema kiswahili ndo kitamaliza hizi shida zote....

we fikiria mzungu ambae hajui kiswahili vizuri..
anamtongoza msichana wa kiswahili kwa kiswahili..

hayo ndo mambo amabyo wabongo wengi tunafanya..
kama kweli lugha inaku babaisha borea uiachilie mbali kuliko kujiumbua lol

Mimi nimekwambia kiswahili kigumu bana........NAKUPENDA SANA NIKINYWA MAJI NAKUONA KWENYE GLASI, NIKILALA NAKUOTA WEWE BILA WEWE MIMI SIWEZI KUISHI TUPENDANE KAMA SAMAKI NA MAJI AU NYOKA NA MAJANI dah hizi verse ngumu sana kuzipata
 
Mimi nimekwambia kiswahili kigumu bana........NAKUPENDA SANA NIKINYWA MAJI NAKUONA KWENYE GLASI, NIKILALA NAKUOTA WEWE BILA WEWE MIMI SIWEZI KUISHI TUPENDANE KAMA SAMAKI NA MAJI AU NYOKA NA MAJANI dah hizi verse ngumu sana kuzipata


hahahahahah lol
umenichekesha..
halafu hayo maneno yote yanaonekana uwongo mtakatifu lol
 
Back
Top Bottom