TheMnyonge
JF-Expert Member
- Mar 25, 2022
- 738
- 1,886
Hata kama bhana ni toi much sasaaaKuna ambao hawajui hata hicho kiswahili kingereza sio lugha yetu hivyo kukosea ni kawaida [emoji23][emoji23]
Hahahaaa, kwani haujui magu alikuwa anaongea hivyo?Mtu anaindika "kifua mbereee" halafu unaweka public kabisa.
Bora huyo mtu akatumia kilugha chake tu.
Toi much au sio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila mtu aandike anachoona kinampa raha kikubwa asivunje Sheria
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Toi much au sio
Angalau kidogo sababu yako ina mashikotechnically na uhakika hiyo ni typing error tu kama hujui tofauti ya four na for hutaweza andika neno beauty.
Hiki nini?! πunatembea kifua mbereeee
Hivi ni nini hiki?! πhalafu unaweka public kabisaaa?
Yes kuna hili neno linaitwa yake smartphone hua ina-pick take kwa hio ukiandika kwa haraka unakuta ime-pick take kumbe ulikua unataka kuandika yake hii hua inanitokea sana ila kwa hio four ni nadra sana mkuu hata hio play sio rahisi kihivyotechnically na uhakika hiyo ni typing error tu kama hujui tofauti ya four na for hutaweza andika neno beauty.
Mbona we umeandika toi much na nimekuelewaa mkuu swangilishi..π
Nisamehe mimi, nimekosa mimi,nimekosa, mimi, nimekosa sana! (In Jobuz tone)Mbona we umeandika toi much na nimekuelewaa mkuu swangilishi..[emoji23]
Umetisha sanaaaaNiko naanda uzi wangu apa kwa lugha ya kihaya! Mtauona badae kidogo