prumpeti
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 1,023
- 2,308
๐๐๐๐๐sawaNisamehe mimi, nimekosa mimi,nimekosa, mimi, nimekosa sana! (In Jobuz tone)
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐sawaNisamehe mimi, nimekosa mimi,nimekosa, mimi, nimekosa sana! (In Jobuz tone)
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Umbea umbea tu umekujaa
Neno sahihi ni "halafu".Hiki nini?! ๐
Mbere = Mbele
Mfano: matembele sio matembere
Hivi ni nini hiki?! ๐
Halafu = Alafu
Walimu Wana kazi ngumu sana wapandishwe madaraja na waongezewe mishahara kwa kweli daah, ๐
Kwa hiyo wewe umefundishwa ALAFU ndiyo sahihi?Hiki nini?! [emoji23]
Mbere = Mbele
Mfano: matembele sio matembere
Hivi ni nini hiki?! [emoji23]
Halafu = Alafu
Walimu Wana kazi ngumu sana wapandishwe madaraja na waongezewe mishahara kwa kweli daah, [emoji23]
Kwanini usingeandika kwa lugha ya kiingereza?
Matumizi ya L&R tz kirusi kipyaMtu anaindika "kifua mbereee" halafu unaweka public kabisa.
Bora huyo mtu akatumia kilugha chake tu.