Absent without leave (A.W.l)van damme anatoroka jeshini, embu iweke vizuri ,inaitwaje kwa lugha ya malkia
Hakuna combination nzur kama Jack chan, somo hung na yeun biao lazima udateYes Mkuu,
Hii movie ni chuma cha moto , yule dogo wa Maputo kwa pikiki ni Yeun Biao jamaa yupo vizuri na kachezea movie nyingi sana.
Lakini Sammo hung huyu 'big' huwa ananifurahisha sana pamoja na unene wote lakini anagawa Mkong'oto (kibano) cha hali ya Juu.
Utanda ulio wazi ndio 7bu mkuuFILAMU ZIMEPOTEZA MVUTO AU WATU NDO WAMEELIMIKA BAADA YA UONGO KUKITHIRI KWENYE FILAMU?
Kuna movie fkani hv hua zinarushwa chanel ya MGM za miaka ya 60 mpaka90 wanaonyesha kabisaHuyu Jamaa wa Taekwondo bwana (Lou/liu/low) alikuwa anapenda mno hizi mambo, Miaka ya 1980's movie nyingi zilikuwa zinafichacha haya mambo ila yeye aliweka wazi kabisa.
Nilipata kutazama movie zake nyingi sana.
Mimi naweza kusema utandawazi umechangia kwa kiasi kikubwa watu kufahamu/kutambua mambo mengi.katika Filamu watu wengi hasa wa ulimwengu wa tatu(third world countries) tulikuwa hatuna elimu zaiidi ya Filamu hivyo tulikuwa tunachukilia kama ni uhalisia kumbe ni maigizo tu.FILAMU ZIMEPOTEZA MVUTO AU WATU NDO WAMEELIMIKA BAADA YA UONGO KUKITHIRI KWENYE FILAMU?
Kweli aisee Ebana combination Yao ilikuwa moto wa kuotea mbali,utacheka na utafurahi vilivyo.Hakuna combination nzur kama Jack chan, somo hung na yeun biao lazima udate
Angalia billionaires express ni hatarKweli aisee Ebana combination Yao ilikuwa moto wa kuotea mbali,utacheka na utafurahi vilivyo.
Hahaha,nimekuelewa sana mkuu, huyo big namkubali yaan ni mwepesi mwisho wa kazi.Pamoja sana bosi!!Yes Mkuu,
Hii movie ni chuma cha moto , yule dogo wa Maputo kwa pikiki ni Yeun Biao jamaa yupo vizuri na kachezea movie nyingi sana.
Lakini Sammo hung huyu 'big' huwa ananifurahisha sana pamoja na unene wote lakini anagawa Mkong'oto (kibano) cha hali ya Juu.
Pamoja sana!Hahaha,nimekuelewa sana mkuu, huyo big namkubali yaan ni mwepesi mwisho wa kazi.Pamoja sana bosi!!
Unaikumbuka vyema mkuu. Big upHii kitu ni bonge moja la chuma asee!!
Huwa namuelewa sana yule dogo ambae alikuwa na pikipiki hivi lina maputo meeengiii pamoja,na big anayeonekana hapo kwenye attachement yako hapo asee na bila kumsahau general wa nchi walokuwa wamekwenda,yule dingi alikuwa anapiga mkono aseee,hahah!!!
Itabidi nikaifukue kwenye chimbo langu siku niitizame tena mkuu.
Above the rim,juice,poetic justice na gridlock'dIn the line of duty
No retreat no surender
Roha
Ganga jamunar na swaraswat
Shamba kubwa
Girl friend
Above the rim
PREDATOR!
Anodi shoziniga!
THE HARD WAY
Chaki Norisi
MR BEANS HOLIDAY
Mista bini!
.....
Teh teh teh! Eti Chaki Norisi
PREDATOR!
Anodi shoziniga!
THE HARD WAY
Chaki Norisi
MR BEANS HOLIDAY
Mista bini!
.....
aha
Mambo ya sayansi na tekelinalokujia[emoji23][emoji23][emoji23]Utanda ulio wazi ndio 7bu mkuu
AsanteeVideoorder