Kama humfahamu huyu jamaa basi fikra zako siyo angavu kabisa.

Kama humfahamu huyu jamaa basi fikra zako siyo angavu kabisa.

Huyu jamaa ni hatari yaani anaongea kile kinacho mjia mdomoni yaani ni lugha gongana ile eti
 
wanaume tuna mitihani mikubwa, ningelijua nisingelioa maana mabandiko kama haya yanatia kinyaa na kuua stimu ya kuoa.
Usisikitike kaka lakini huruma zetu ziko kwa Bwana Abdul. Baada ya miaka 31 mtoto anaetumia ubin wako unapata taarifa kupitia redioni kuwa si wakwako.
 
Back
Top Bottom