Kama Humtaki Muache Aende Usimsumbue

Hapo. Ndipo binti hujutiaa kwanini aliwakataaa/alimkataaa yule...
 
Wadaka chozi tupoo,kama hiyoo ndoa itayumba tena october ni pm!

Siwezi kuendelea kuona huyoo dada anafanyiwa hivyo!
 
Ukisia laana za kujitafutia ndio hizi,..hivi ukimwambia mtu sikutaki utapunguza kilo ngapi??me nawaona washamba viumbe dizaini hii...pole kwa bi shost sasa atapenda kwa akili,.
kama mimi sikutaki kabisa na ukinisumbua tena PM namwambia mke wangu.

tuma ebu tena pm....


Ujichanganye tu ukomoe uje pm.
 
Inasikitisha sana
 
MKIFANYIWA nyie mnalalamika... ila mkitufanyia unyama mnaona sawa...

sasa kuna MWENZENU kasomeshwa kuanzia form 4 hadi chuo...kamaliza chuo katafuta bwana mwingine kaolewa nae..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…