themanhimself176
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,806
- 2,830
wee mbona mbeya nimeongea na weweKwani yeye nyani?
acha shobo mtoto wa kiume kuna jela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wee mbona mbeya nimeongea na weweKwani yeye nyani?
Kuna mawili.. Wenda alimbania sana au aliitoa mpaka jamaa akakinai..Labda uyo dada alikua anambania papuchi kipindi wapo chuoni...
Ukiliweka hapa ni la wote, OTHERWISE UNGEMFUATA PMwee mbona mbeya nimeongea na wewe
acha shobo mtoto wa kiume kuna jela
kama mimi sikutaki kabisa na ukinisumbua tena PM namwambia mke wangu.Ukisia laana za kujitafutia ndio hizi,..hivi ukimwambia mtu sikutaki utapunguza kilo ngapi??me nawaona washamba viumbe dizaini hii...pole kwa bi shost sasa atapenda kwa akili,.
Inasikitisha sanaKuna dada alikua na bf wake wakati wapo chuoni. Bf akamaliza kabla yake akapata kazi Njombe wakati huyo dada yuko chuo Mbeya. Kaka hakuwahi kumpa hata 500 ya vocha na anafanya kazi. Dada wa watu akavumilia tu labda atabadilika. Dada akamaliza chuo akapata kazi Arusha. Siku akaomba ruhusa kazini ili aende akamsalimie mpenzi wake Njombe. Mpenzi wake akamuelekeza basi la kupanda kabisa akishuka stand ampigie ampokee. Anakaribia kufika yule kaka akazima simu. Amefika Njombe ikabidi atafute hotel alale. Akawa anafanya mchezo wa kumtafuta mpenzi wake kwenye simu. Mara apatikane hapokei mara hapatikani. Siku ya tatu baada ya kufika akapata namba ya dada ake yule kijana ndo kumpa ukweli wote kuwa kijana ana mwanamke na mtoto anaishi nao aondoke tu na amsahau huyo mwanaume. Akarudi zake Arusha na kilio juu maskini.
Sasa kama alikua hamtaki kwanini kampotezea muda wake na gharama za kukaa hotel wakati angemwambia tu live dada wa watu ajiongeze.