marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
#trusttheprocess
Msimu wake wa mwisho akiwa kocha wa Manchester United José alipata kichapo kutoka kwa Sevilla na akatupwa nje ya mashindano ya UEFA.
Pamoja na kebehi zake nyingi na majigambo baada ya mechi ile Mourinhol alizungumza kuhusu football HERITAGE!.
Mourinhol alisema ali rithi kikosi kibovu mnoo kutoka kwa kocha wa nyuma yake ambae alikua Luis Van Gaal.
Akatoa mfano wa kikosi alicho kikuta Pep pale Manchester City kua aliwakuta wakina Kelvin De Bruine,David Silva ,Serigio Kun Aguero ,Yaya Toure japo hakumtumia sana wakina Vicenti Company Heritage ya Pep Guadiola pale Manchester City ilikua nzuri ndio maana haiku mchukua mida mrefu kukiweka sawa na kuingiza mifumo yake
Akasema kwake yeye cha maana kilikua alicho kikuta Manchester united ni David De gea tu!...hivyo anatengeneza footaball heritage ili hata akitoka Yeye basi kocha anae fata haita muwia vigumu kukinoa kikosi hicho
Football Heritage ndio msingi wa Clabu yoyote kubwa yenye dhamira ya mafanikio ya muda mrefu
Kua na football heritage kwenye clabu ni lazima kuwa na wachezaji sahihi wenye umri sahihi na haiba sahihi pia ni lazima wawe loyal kwa kocha na clabu!
Ukiitazama Arsenal ya sasa na ile ya kina Papastoporus ni Arsenal mbili tofauti Pengine ile ilikua na matokeo mazuri ila haikua na kesho wala kesho kutwa hii ya sasa inakesho na kesho kutwa!
Anacho kifanya Michel Arteta ni kutengeneza football heritage Pale Arsenal kwa kua wachezaji sahihi kwa maana ya kipaji na uwezo mzuri,umri sahihi kwa maana ya kua na mchezaji wa muda mrefu ndio maana hasajiri mchezaji wa umri zaidi ya miaka 25, Wachezaji wenye utimamu na dhanira pia wenye loyalty na timu hivyo unaweza ukamtegemea
chukulia mfano wa Kelvib De bruine na Pouk Pogba Pogba ni Talented ila sio loyal ila kelvin ni loyal..hii ndio football heritage.
kuna mda utafika ,Ben white,Bukayo saka, Smith Rowe, Tamiasu, Matineli, Partey, Lokonga, Ramsdale na Arteta wataisumbua sana Dunia alafu kwa muda mrefu sana hiyo siku inakuja tuombe uhai!
Msimu wake wa mwisho akiwa kocha wa Manchester United José alipata kichapo kutoka kwa Sevilla na akatupwa nje ya mashindano ya UEFA.
Pamoja na kebehi zake nyingi na majigambo baada ya mechi ile Mourinhol alizungumza kuhusu football HERITAGE!.
Mourinhol alisema ali rithi kikosi kibovu mnoo kutoka kwa kocha wa nyuma yake ambae alikua Luis Van Gaal.
Akatoa mfano wa kikosi alicho kikuta Pep pale Manchester City kua aliwakuta wakina Kelvin De Bruine,David Silva ,Serigio Kun Aguero ,Yaya Toure japo hakumtumia sana wakina Vicenti Company Heritage ya Pep Guadiola pale Manchester City ilikua nzuri ndio maana haiku mchukua mida mrefu kukiweka sawa na kuingiza mifumo yake
Akasema kwake yeye cha maana kilikua alicho kikuta Manchester united ni David De gea tu!...hivyo anatengeneza footaball heritage ili hata akitoka Yeye basi kocha anae fata haita muwia vigumu kukinoa kikosi hicho
Football Heritage ndio msingi wa Clabu yoyote kubwa yenye dhamira ya mafanikio ya muda mrefu
Kua na football heritage kwenye clabu ni lazima kuwa na wachezaji sahihi wenye umri sahihi na haiba sahihi pia ni lazima wawe loyal kwa kocha na clabu!
Ukiitazama Arsenal ya sasa na ile ya kina Papastoporus ni Arsenal mbili tofauti Pengine ile ilikua na matokeo mazuri ila haikua na kesho wala kesho kutwa hii ya sasa inakesho na kesho kutwa!
Anacho kifanya Michel Arteta ni kutengeneza football heritage Pale Arsenal kwa kua wachezaji sahihi kwa maana ya kipaji na uwezo mzuri,umri sahihi kwa maana ya kua na mchezaji wa muda mrefu ndio maana hasajiri mchezaji wa umri zaidi ya miaka 25, Wachezaji wenye utimamu na dhanira pia wenye loyalty na timu hivyo unaweza ukamtegemea
chukulia mfano wa Kelvib De bruine na Pouk Pogba Pogba ni Talented ila sio loyal ila kelvin ni loyal..hii ndio football heritage.
kuna mda utafika ,Ben white,Bukayo saka, Smith Rowe, Tamiasu, Matineli, Partey, Lokonga, Ramsdale na Arteta wataisumbua sana Dunia alafu kwa muda mrefu sana hiyo siku inakuja tuombe uhai!