Kama huna akili ya ZIADA huwezi kuelewa sayansi. Sayansi ni kanuni Haina uhusiano na dini

Kama huna akili ya ZIADA huwezi kuelewa sayansi. Sayansi ni kanuni Haina uhusiano na dini

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
images (90).jpeg
images (89).jpeg

Tujifunze kutokana na huo mtambo unaitwa international space station, upo hapo juu kabisa anga za mbali kama mile mia nne.

Halafu mwingine ANATUMIA vitabu vya dini ETI wanasema hawajawahi kufika mwezini. Kama wameweza hilo kwanini washindwe hilo la kwenda mwezini.

Sayansi jamani ni kanuni, Haina uhusiano na dini. Tusipende kubisha tu, tunatakiwa kujifunza
 
Hoja yako ni dhaifu. Sawa na mtu atupatie picha ya mtumbwi wa wavuvi kisha aseme. Mtumbwi huu upo kilometa kumi kutoka pwani ya mtwala halafu atokee mtu akatae kuwa hakuna wavuvi wanaovua samaki madagaska wakiwa wametoka lindi.

Hizo maili mianane ni chini ya mara mia ikilinganishwa na umbali wa kwenda mwezini. Kutoka hapa mpaka mwezini kama sikosei ni zaidi ya maili 500,000 sasa utalinganishaje na hilo iss ilipo. Siyo kwamba mi naunga mkono wanaokataa binadamu kufika mwezini bali nakukumbusha hoja yako ni dhaifu. Kuna watu walisema mwezini hakuna atmosphere kitu kinachowezesha mjongeo wa hewa. Lakini bendera ya kimarekani ilikuwa inapepea walipofika huko miaka 53 iliyopita na hakuna majibu ya kueleweka waliyoyatoa nasa kuhusu swali hilo
 
Hoja yako ni dhaifu. Sawa na mtu atupatie picha ya mtumbwi wa wavuvi kisha aseme. Mtumbwi huu upo kilometa kumi kutoka pwani ya mtwala halafu atokee mtu akatae kuwa hakuna wavuvi wanaovua samaki madagaska wakiwa wametoka lindi.

Hizo maili mianane ni chini ya mara mia ikilinganishwa na umbali wa kwenda mwezini. Kutoka hapa mpaka mwezini kama sikosei ni zaidi ya maili 500,000 sasa utalinganishaje na hilo iss ilipo. Siyo kwamba mi naunga mkono wanaokataa binadamu kufika mwezini bali nakukumbusha hoja yako ni dhaifu. Kuna watu walisema mwezini hakuna atmosphere kitu kinachowezesha mjongeo wa hewa. Lakini bendera ya kimarekani ilikuwa inapepea walipofika huko miaka 53 iliyopita na hakuna majibu ya kueleweka waliyoyatoa nasa kuhusu swali hilo
duh kuwa hakuna atmosphere ?
 
Unajisumbua bure tu kubishana na hao imani ni ugonjwa wa kisaikolojia!
 
Hoja yako ni dhaifu. Sawa na mtu atupatie picha ya mtumbwi wa wavuvi kisha aseme. Mtumbwi huu upo kilometa kumi kutoka pwani ya mtwala halafu atokee mtu akatae kuwa hakuna wavuvi wanaovua samaki madagaska wakiwa wametoka lindi.

Hizo maili mianane ni chini ya mara mia ikilinganishwa na umbali wa kwenda mwezini. Kutoka hapa mpaka mwezini kama sikosei ni zaidi ya maili 500,000 sasa utalinganishaje na hilo iss ilipo. Siyo kwamba mi naunga mkono wanaokataa binadamu kufika mwezini bali nakukumbusha hoja yako ni dhaifu. Kuna watu walisema mwezini hakuna atmosphere kitu kinachowezesha mjongeo wa hewa. Lakini bendera ya kimarekani ilikuwa inapepea walipofika huko miaka 53 iliyopita na hakuna majibu ya kueleweka waliyoyatoa nasa kuhusu swali hilo

Hiyo mile 500000 umeitoa wapi? Ni safari ya siku 3_4

Kwa msaada wa google
Screenshot_20220829-220035.jpg
 
Sayansi na dini ni vitu viwili vyenye ugomvi mkali.

Dini haikubaliani kabisa na kitu kinachoitwa ukosoaji juu yake. Ukijaribu kuikosoa ama kutilia shaka chochote juu yake, utaonekana mpumbavu ama mhuni tu na wenye hiyo imani.

Dini ni unchallengeable kwa mujibu wa waumini wa dini husika.

Wakati huohuo, unaweza kukosoa chochote kile kwenye sayansi kwa facts. Ukikosoa vizuri na kuonesha udhaifu wa misimamo mbalimbali ya kisayansi iliyokuwepo ama iliyopo hivi sasa, unaweza kushinda hata tuzo ya Nobel.

Sayansi imekaa mkao wa kujaribiwa na kutiliwa shaka na yeyote, muda wowote ule.
 
View attachment 2338718View attachment 2338719
Tujifunze kutokana na huo mtambo unaitwa international space station, upo hapo juu kabisa anga za mbali kama mile mia nne.

Halafu mwingine ANATUMIA vitabu vya dini ETI wanasema hawajawahi kufika mwezini. Kama wameweza hilo kwanini washindwe hilo la kwenda mwezini.

Sayansi jamani ni kanuni, Haina uhusiano na dini. Tusipende kubisha tu, tunatakiwa kujifunza
Hii nayo mpya, kwamba ni Dini ndio inapinga watu hawajaenda mwezini? Kama ni Dini inapinga ni ipi? Na nani amepinga?

Wanaopinga issue ya mwezini ni wanasayansi hao hao, sababu wanasayansi wengine wanakubali haimaanishi wanaokataa ni watu wa Dini.

Mtu wa kwanza kupinga safari ya mwezini ni Bill Kaysing, Huyu jamaa alishiriki kutengeneza Engine iliotumika na Rocket kwenda mwezini, na alisema hizi Engine hazina uwezo wa kwenda na Kurudi Toka mwezini. Ikumbukwe Nasa Imeanzishwa 1958 baada ya Sputnik kufanya jaribio la kwenda mwezini 1957.

Na alitoa Ushahidi kibao kwamba Marekani hawakuenda mwezini, tafuta kitabu chake kinaitwa

We Never Went to the Moon: America’s Thirty Billion Dollar Swindle

 
Back
Top Bottom