Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Ifike mahala tujiheshimu kisha tuheshimiane sisi kwa sisi. Mbona tunakuwa na tabia za kimasikini kana kwamba hatumiliki ma Range humu ndani?
Unakuta jitu linaingia M.M.U linakutana na nyuzi za kuzagamuana, linaamua kujaa sumu. Kwa hiyo ulitegemea ukutane na uzi wa report ya C.A.G? Shwain. Bila aibu anacomment, 'nyuzi kama hizi hazinistahili. Kuwa wa kwanza kwenye ignore list yangu'. Halafu unakuta ni mwanaume
Kuna katabia ka kucomment neno 'sawa' au 'sawa sawa' kameibuka, sio kwa kina baba wala kwa kina mama, tutawalima ban. Ni aibu sana kwa mwanamke aliyeolewa kutumia neno 'sawa', ni ishara ya kiburi
Bila kuwasahau wale wanaoreply maneno kama 'joined yesterday'. Hii ni dalili ya umama
Unakuta jitu linaingia M.M.U linakutana na nyuzi za kuzagamuana, linaamua kujaa sumu. Kwa hiyo ulitegemea ukutane na uzi wa report ya C.A.G? Shwain. Bila aibu anacomment, 'nyuzi kama hizi hazinistahili. Kuwa wa kwanza kwenye ignore list yangu'. Halafu unakuta ni mwanaume
Kuna katabia ka kucomment neno 'sawa' au 'sawa sawa' kameibuka, sio kwa kina baba wala kwa kina mama, tutawalima ban. Ni aibu sana kwa mwanamke aliyeolewa kutumia neno 'sawa', ni ishara ya kiburi
Bila kuwasahau wale wanaoreply maneno kama 'joined yesterday'. Hii ni dalili ya umama