Kama huna 'Commitment' na kazi uliyonayo, usikimbilie kujiajiri

Kama huna 'Commitment' na kazi uliyonayo, usikimbilie kujiajiri

Dr Restart

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
4,949
Reaction score
24,046
Siku hizi kumezuka na Motivational Speakers wenye kuwashawishi watu kuwa kazi ni Utumwa na kamwe hutokaa utajirike.

Kwamba, mwajiri wako atakutumia anavyotaka na kamwe hutokaa utajirike.
Muda wako unakuwa kwa ajili ya kuendelea kuneemesha muajiri wako, yeye akiendelea kutajirika huku wewe ukiendelea kuwa maskini.

Kwamba leo utaamua uamke saa ngapi, uvae jinsi unavyotaka uende popote unapotaka bila yeyote kukuuliza. Au leo uamue tu kwamba siendi kazini na wala huna wa kukufanya kitu.

Ndugu yangu, kama utaingia katika ujasiriamali kwa maneno kama hayo jua umeshaanguka. Unaenda kufilisika ndani ya muda mfupi.

Ujasiriamali ni kazi ngumu ambayo kila kitu kinategemea jitihada na akili zako mwenyewe. Kwa mwajiri, una uhakika kabisa mwisho wa mwezi napokea kiasi changu. Lakini kwenye ujasiriamali, inategemea nguvu na maarifa kiasi gani ulizojitoa.

Kama kazi ya mwajiri unaona mzigo, basi nakuhakikishia wewe kinachokusumbua ni uvivu. Na kwenye ujasiriamali wavivu hufungasha virago mapema sana.

Kazi ya mwajiri inakupa muda maalum wa kuingia kazini lakini kwenye ujasiriamali unatakiwa uamke mapema zaidi kuwahi kazini. Dunia haikuogopi ujilalie mpaka saa nne ndiyo utoke uende sokoni kununua vitu vya kuuza gengeni, alafu upate faida nyingi.

Ujasiriamali unakutaka uongeze nguvu na akili zaidi kuliko ile ambayo ulikuwa ukioffer kwa mwajiri wako.

Kama nidhamu yako ilikuwa ni ndogo, basi ujasiriamali unakutaka ujiongezee nidhamu zaidi na zaidi. Kama wateja walikuwa wakifika muda wa lunch, unawabinulia mdomo kuwa ni lunch time, kwenye ujasiriamali hata mteja akija ukila basi unaacha kula umhudumie mteja.

Usikimbilie kuacha kibarua chako kwa minajili ya kufanya kile ambacho unajisikia. Utafeli ndugu yangu.

Usikimbilie kuacha kazi yako kabla biashara yako haijasimama na kuwa na uhakika wa kipato.

Usikimbilie kuacha kazi kwa sababu umechoka barua za onyo kutoka kwa mwajiri kwa tabia zako za kutofikia malengo na utovu wa nidhamu, kwenye ujasiriamali utachapika na dunia bila huruma.

Lakini ukiupatia, utafurahia dunia.

Mungu akubariki.
 
Mwaka Huu Mgumu Sana Viongozi Wakubwa Wamekufa
Mpaka Sasa Hivi Hali Tete Sana Hasa Ujio Wa:-
Johnson And Johnson
Tozo
Ajira
Mama Anaupiga Mwingi Sana Mpaka Unatoka Nje 😶😑
 
Shida ya kuajiriwa Ni kwamba mtu unakuta anafanya kazi asiyoipenda ili tu apate kipato + kupelekeshwa + uchovu + majungu + mshahara mdogo inapelekea mtu kuchukia kuajiriwa, Ila aliyejiajiri hua anafanya kazi yake kwa moyo,upendo na nguvu kubwa akiwa na lengo la kuhitaji kupiga hatua katika kuikuza Ajira yake.... Ubaya ni kukurupuka kukimbia kuajiriwa kwa lengo la kuja kulala huku ukitegemea kuingiza hela Kama kawaida.
 
Siku hizi kumezuka na Motivational Speakers wenye kuwashawishi watu kuwa kazi ni Utumwa na kamwe hutokaa utajirike.

Kwamba, mwajiri wako atakutumia anavyotaka na kamwe hutokaa utajirike.
Muda wako unakuwa kwa ajili ya kuendelea kuneemesha muajiri wako, yeye akiendelea kutajirika huku wewe ukiendelea kuwa maskini.

Kwamba leo utaamua uamke saa ngapi, uvae jinsi unavyotaka uende popote unapotaka bila yeyote kukuuliza. Au leo uamue tu kwamba siendi kazini na wala huna wa kukufanya kitu.

Ndugu yangu, kama utaingia katika ujasiriamali kwa maneno kama hayo jua umeshaanguka. Unaenda kufilisika ndani ya muda mfupi.

Ujasiriamali ni kazi ngumu ambayo kila kitu kinategemea jitihada na akili zako mwenyewe. Kwa mwajiri, una uhakika kabisa mwisho wa mwezi napokea kiasi changu. Lakini kwenye ujasiriamali, inategemea nguvu na maarifa kiasi gani ulizojitoa.

Kama kazi ya mwajiri unaona mzigo, basi nakuhakikishia wewe kinachokusumbua ni uvivu. Na kwenye ujasiriamali wavivu hufungasha virago mapema sana.

Kazi ya mwajiri inakupa muda maalum wa kuingia kazini lakini kwenye ujasiriamali unatakiwa uamke mapema zaidi kuwahi kazini. Dunia haikuogopi ujilalie mpaka saa nne ndiyo utoke uende sokoni kununua vitu vya kuuza gengeni, alafu upate faida nyingi.

Ujasiriamali unakutaka uongeze nguvu na akili zaidi kuliko ile ambayo ulikuwa ukioffer kwa mwajiri wako.

Kama nidhamu yako ilikuwa ni ndogo, basi ujasiriamali unakutaka ujiongezee nidhamu zaidi na zaidi. Kama wateja walikuwa wakifika muda wa lunch, unawabinulia mdomo kuwa ni lunch time, kwenye ujasiriamali hata mteja akija ukila basi unaacha kula umhudumie mteja.

Usikimbilie kuacha kibarua chako kwa minajili ya kufanya kile ambacho unajisikia. Utafeli ndugu yangu.

Usikimbilie kuacha kazi yako kabla biashara yako haijasimama na kuwa na uhakika wa kipato.

Usikimbilie kuacha kazi kwa sababu umechoka barua za onyo kutoka kwa mwajiri kwa tabia zako za kutofikia malengo na utovu wa nidhamu, kwenye ujasiriamali utachapika na dunia bila huruma.

Lakini ukiupatia, utafurahia dunia.

Mungu akubariki.
Daa haya madini huwa tuna lipia lakn leo tumepata buree kabisa asante sana kiongozi
 
Siku hizi kumezuka na Motivational Speakers wenye kuwashawishi watu kuwa kazi ni Utumwa na kamwe hutokaa utajirike.

Kwamba, mwajiri wako atakutumia anavyotaka na kamwe hutokaa utajirike.
Muda wako unakuwa kwa ajili ya kuendelea kuneemesha muajiri wako, yeye akiendelea kutajirika huku wewe ukiendelea kuwa maskini.

Kwamba leo utaamua uamke saa ngapi, uvae jinsi unavyotaka uende popote unapotaka bila yeyote kukuuliza. Au leo uamue tu kwamba siendi kazini na wala huna wa kukufanya kitu.

Ndugu yangu, kama utaingia katika ujasiriamali kwa maneno kama hayo jua umeshaanguka. Unaenda kufilisika ndani ya muda mfupi.

Ujasiriamali ni kazi ngumu ambayo kila kitu kinategemea jitihada na akili zako mwenyewe. Kwa mwajiri, una uhakika kabisa mwisho wa mwezi napokea kiasi changu. Lakini kwenye ujasiriamali, inategemea nguvu na maarifa kiasi gani ulizojitoa.

Kama kazi ya mwajiri unaona mzigo, basi nakuhakikishia wewe kinachokusumbua ni uvivu. Na kwenye ujasiriamali wavivu hufungasha virago mapema sana.

Kazi ya mwajiri inakupa muda maalum wa kuingia kazini lakini kwenye ujasiriamali unatakiwa uamke mapema zaidi kuwahi kazini. Dunia haikuogopi ujilalie mpaka saa nne ndiyo utoke uende sokoni kununua vitu vya kuuza gengeni, alafu upate faida nyingi.

Ujasiriamali unakutaka uongeze nguvu na akili zaidi kuliko ile ambayo ulikuwa ukioffer kwa mwajiri wako.

Kama nidhamu yako ilikuwa ni ndogo, basi ujasiriamali unakutaka ujiongezee nidhamu zaidi na zaidi. Kama wateja walikuwa wakifika muda wa lunch, unawabinulia mdomo kuwa ni lunch time, kwenye ujasiriamali hata mteja akija ukila basi unaacha kula umhudumie mteja.

Usikimbilie kuacha kibarua chako kwa minajili ya kufanya kile ambacho unajisikia. Utafeli ndugu yangu.

Usikimbilie kuacha kazi yako kabla biashara yako haijasimama na kuwa na uhakika wa kipato.

Usikimbilie kuacha kazi kwa sababu umechoka barua za onyo kutoka kwa mwajiri kwa tabia zako za kutofikia malengo na utovu wa nidhamu, kwenye ujasiriamali utachapika na dunia bila huruma.

Lakini ukiupatia, utafurahia dunia.

Mungu akubariki.
Shukrani sana
 
Ajira zinachangamoto zake kama ilivyo ujasiriamali. MTU afanye kile ambacho hatajutia
 
Siku hizi kumezuka na Motivational Speakers wenye kuwashawishi watu kuwa kazi ni Utumwa na kamwe hutokaa utajirike.

Kwamba, mwajiri wako atakutumia anavyotaka na kamwe hutokaa utajirike.
Muda wako unakuwa kwa ajili ya kuendelea kuneemesha muajiri wako, yeye akiendelea kutajirika huku wewe ukiendelea kuwa maskini.

Kwamba leo utaamua uamke saa ngapi, uvae jinsi unavyotaka uende popote unapotaka bila yeyote kukuuliza. Au leo uamue tu kwamba siendi kazini na wala huna wa kukufanya kitu.

Ndugu yangu, kama utaingia katika ujasiriamali kwa maneno kama hayo jua umeshaanguka. Unaenda kufilisika ndani ya muda mfupi.

Ujasiriamali ni kazi ngumu ambayo kila kitu kinategemea jitihada na akili zako mwenyewe. Kwa mwajiri, una uhakika kabisa mwisho wa mwezi napokea kiasi changu. Lakini kwenye ujasiriamali, inategemea nguvu na maarifa kiasi gani ulizojitoa.

Kama kazi ya mwajiri unaona mzigo, basi nakuhakikishia wewe kinachokusumbua ni uvivu. Na kwenye ujasiriamali wavivu hufungasha virago mapema sana.

Kazi ya mwajiri inakupa muda maalum wa kuingia kazini lakini kwenye ujasiriamali unatakiwa uamke mapema zaidi kuwahi kazini. Dunia haikuogopi ujilalie mpaka saa nne ndiyo utoke uende sokoni kununua vitu vya kuuza gengeni, alafu upate faida nyingi.

Ujasiriamali unakutaka uongeze nguvu na akili zaidi kuliko ile ambayo ulikuwa ukioffer kwa mwajiri wako.

Kama nidhamu yako ilikuwa ni ndogo, basi ujasiriamali unakutaka ujiongezee nidhamu zaidi na zaidi. Kama wateja walikuwa wakifika muda wa lunch, unawabinulia mdomo kuwa ni lunch time, kwenye ujasiriamali hata mteja akija ukila basi unaacha kula umhudumie mteja.

Usikimbilie kuacha kibarua chako kwa minajili ya kufanya kile ambacho unajisikia. Utafeli ndugu yangu.

Usikimbilie kuacha kazi yako kabla biashara yako haijasimama na kuwa na uhakika wa kipato.

Usikimbilie kuacha kazi kwa sababu umechoka barua za onyo kutoka kwa mwajiri kwa tabia zako za kutofikia malengo na utovu wa nidhamu, kwenye ujasiriamali utachapika na dunia bila huruma.

Lakini ukiupatia, utafurahia dunia.

Mungu akubariki.
Hebu fikiria,wajasiliamali kama wabunge na Mawaziri wanakimbilia kuajiriwa halafu wanawasihi vijana wajiajiri wenyewe. So pathetic!!
 
Sifaa kubwa ya kujiajiri ni moja tu...Nikuwa na uhuru na muda wako nikuweza kupanga ratiba zako bila kuulizwa na mwanaume mwenzio ulikuwa wapi..!!??
Sasa kutokana sisi watu weusi Mungu hakuweza kutupa ubongo wa kwenda ndo maana tunaishia kujua maisha ni ajira tuu na sivinginevyo.

Unakuta mtu ni mvivu hata kufagia na kulima tuu kuzunguka nyumba anayo ishi ni shida
Je huyo anaweza kujiajiri.
Pia anajua ratiba zote za mjini na ratiba za mipira yote Duniani as if inampatia chochote kitu hakuna...!
Lakini Mabichwa yetu yamejaza Package ya Mayele na Yanga ya Simba na Mo
Dada zetu wako busy na Aristote na Irene Uwoya.

Kwa hizi takataka zilizopo katika akili zetu haziwezi kuendana na ujasiriamali na kujitegemea.
Kweli life ni taabu tupu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom