Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,315
Hiyo taa inatumia umeme au nishati ipi?
Wakuu Price na charminglady, ni taa yeyote ya mafuta, umeme, au sola zote zafaa.
SWakuu Price na charminglady, ni taa yeyote ya mafuta, umeme, au sola zote zafaa.
I tell you hao ni panya wa bush wa huku mjini hata mchana wa jua la saa sita wanafanya yao.
ombeni na nyie mpelekwe mabwepandehao panya wa kwenu lakin sio wa huku tandika na sehem zingine za uswahili
panya wana jeuri ya kuhamisha mitego na wasizurike
leo ukawaletee habari za taa!
Huku kwetu mpaka Inzi wansumbua usiku wa giza totoro
I think those are rat people. Kamanda Moshi.