Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,315
Biashara na uchumi hoyeeee.
Mara nyingi sumu ya panya huweza kusababisha hatari ya watoto kuokota masalia ya chakula cha sumu ya panya usipotoa mapema.
Nyanya mara nyingi hushambuliwa na panya usiku gizani. Wakomoe panya bila dawa. Ifanye taa yako kukesha usiku mzima mahali nyanya zilipo.
Saikolojia ya panya ni kuwa haibi kitu penye mwanga unaommulika. Kwa nini?Anahisi kuwa kwa mwanga huu mwenyewe ananiona.
Hii itasaidia kwa biashara zingine za chakula kuzuia panya wasikuharibie. Asante
Mara nyingi sumu ya panya huweza kusababisha hatari ya watoto kuokota masalia ya chakula cha sumu ya panya usipotoa mapema.
Nyanya mara nyingi hushambuliwa na panya usiku gizani. Wakomoe panya bila dawa. Ifanye taa yako kukesha usiku mzima mahali nyanya zilipo.
Saikolojia ya panya ni kuwa haibi kitu penye mwanga unaommulika. Kwa nini?Anahisi kuwa kwa mwanga huu mwenyewe ananiona.
Hii itasaidia kwa biashara zingine za chakula kuzuia panya wasikuharibie. Asante