Kama huna gari wala Usihangaike kuifungua hii thread. Achana nayo, itakuumiza moyo tu

Ndo maana mimi nikiamua kununua helicopter, nimejenga juu ya kilima ambapo kuna hewa nyingi, sipendi usumbufu na barabara zetu mbovu, hili gari langu Cadilac sipendi zivunjike shockup kutokana na bara bara kuwa mbovu, nshawahi kuharibu upande mmoja ikabidi niende SA kufuatilia spea tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Don't abase others for you to elevate yourself
 
Mm gari sina ila ntakosaje kushindwa kusoma Uzi wako wakati ndoto zangu sio kuanzia kuendesha vitz?😁😁😁😁

Wale tunaojua bei za magari, na aina za magari tujuane wakati tukisubiri mungu afungue madirisha tuanzie 10(gari) badala ya 1(vitoto vya gari)😁😁😁😁😁

Ahaaa we Sonya tu ila ndo ukweli.πŸ˜€
 
huvijui vituko vya daladala ww!. hata ukinunua gari hua unalimisi like purukushani sema ww mkuu,. wakishua since day one!. mbogasaba,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…