Kama huna gari wala Usihangaike kuifungua hii thread. Achana nayo, itakuumiza moyo tu

Kama huna gari wala Usihangaike kuifungua hii thread. Achana nayo, itakuumiza moyo tu

Habarini. Jana nilipita sehemu fulani nikakuta wananchi wamejazana sana wanasubiria Usafiri. Nilikuwa na BMW nikatamani niweze wasaidia lakini sikuweza kiukweli.

Nikawa nawaza mwenyewe njiani, hivi maisha bila gari inawezekana kweli? Unaendaje sehemu yoyote ile? Ni mtihani sana, mimi naboreka haraka hata kutumia gari moja siku tatu mfululizo naona kama nitalichosha.

Ndo maana na-change leo BMW, kesho Benz, mara Jeep au Range Rover. Sababu naona maisha bila kuwa na gari mbili tatu ni mateso.

Huwa nasema mtu akishindwa sana angalau awe hata na Usafiri kama Harrier, Rav 4, Suzuki au Nissan. Hizi si mbaya you can move from one place to another.

Kwa mtu ambaye anategemea usafiri wa umma. Hivi maisha yake yanakuaje? Anaweza kweli kupanga ratiba? Anaweza kuwa na furaha? Ni ngumu sana.

Dar kila kitu shida. Mvua shida, jua shida. Mimi magari yangu huwa tu kuna kipindi nafanya mazoezi ya kushusha na kupandisha vioo ili visije sahau kushuka na kupanda.

Maana toka gari nmezinunua ni full time AC. Sielewi ningeishi vipi bila gari hapa nchini. Ni ngumu sana maisha yanakuwa magumu kama jehanamu nadhani sijui huko kukoje nasikia sikia maisha ni tough sana.

Mimi nashauri kijana ukimaliza tu darasa la saba tafuta usafiri hata ya milion 20. Uwe unakusaidia kwenye mizunguko yako ili upate akili baadaye uje kununua gari lenye akili.

Unajua magari ya Ulaya mengi ni Very Intelligent haya ya Asia mengi hayana Brain. Mimi gari zangu zinanitambua kwa alama za vidole, macho n.k

Natamani watu wengi wenye magari tungekuwa na ushirika angalau tufahamiane. Mimi spares zangu nachukua huko huko Ulaya na Marekani. sijui kama kuna maduka ya spares hapa Tanzania. Hivyo kama kuna mtu ana gari models za kuanzia 2017 mpaka leo za Ulaya na Marekani tuwasiliane.

Ukishindwa nunua hata Harrier au Vanguard au Rav 4. Usibaki sana nyuma nyuma katika maendeleo.

Bado nashindwa kuelewa Target yako ni Nani Title umekataza wasio kuwa na gari kutosoma thread yako huku content ya thread ukiwa umelenga wasio kuwa na Gari Where is your Target area?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habarini. Jana nilipita sehemu fulani nikakuta wananchi wamejazana sana wanasubiria Usafiri. Nilikuwa na BMW nikatamani niweze wasaidia lakini sikuweza kiukweli.

Nikawa nawaza mwenyewe njiani, hivi maisha bila gari inawezekana kweli? Unaendaje sehemu yoyote ile? Ni mtihani sana, mimi naboreka haraka hata kutumia gari moja siku tatu mfululizo naona kama nitalichosha.

Ndo maana na-change leo BMW, kesho Benz, mara Jeep au Range Rover. Sababu naona maisha bila kuwa na gari mbili tatu ni mateso.

Huwa nasema mtu akishindwa sana angalau awe hata na Usafiri kama Harrier, Rav 4, Suzuki au Nissan. Hizi si mbaya you can move from one place to another.

Kwa mtu ambaye anategemea usafiri wa umma. Hivi maisha yake yanakuaje? Anaweza kweli kupanga ratiba? Anaweza kuwa na furaha? Ni ngumu sana.

Dar kila kitu shida. Mvua shida, jua shida. Mimi magari yangu huwa tu kuna kipindi nafanya mazoezi ya kushusha na kupandisha vioo ili visije sahau kushuka na kupanda.

Maana toka gari nmezinunua ni full time AC. Sielewi ningeishi vipi bila gari hapa nchini. Ni ngumu sana maisha yanakuwa magumu kama jehanamu nadhani sijui huko kukoje nasikia sikia maisha ni tough sana.

Mimi nashauri kijana ukimaliza tu darasa la saba tafuta usafiri hata ya milion 20. Uwe unakusaidia kwenye mizunguko yako ili upate akili baadaye uje kununua gari lenye akili.

Unajua magari ya Ulaya mengi ni Very Intelligent haya ya Asia mengi hayana Brain. Mimi gari zangu zinanitambua kwa alama za vidole, macho n.k

Natamani watu wengi wenye magari tungekuwa na ushirika angalau tufahamiane. Mimi spares zangu nachukua huko huko Ulaya na Marekani. sijui kama kuna maduka ya spares hapa Tanzania. Hivyo kama kuna mtu ana gari models za kuanzia 2017 mpaka leo za Ulaya na Marekani tuwasiliane.

Ukishindwa nunua hata Harrier au Vanguard au Rav 4. Usibaki sana nyuma nyuma katika maendeleo.
Umekula lakini? We utakuwa mhaya maana ndio wazee wa kiki
 
Kwa hiyo mkuu @kidukulilo siku hizi unaishi hapa nchini hukai tena ma mtoni
 
Mm naona hio haitoshi nunua helkopta utaenjoy zaidi kwa hali hio wewe sio wa level hizi za kawaida ulishakua next level your suppose to change accordingly

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetahadhalishwa kwamba kama sina gari, nisiingie hapa!...kiherehere changi najua ni namna gani kimenipa shambulio la aibu la moyo!
 
Habarini. Jana nilipita sehemu fulani nikakuta wananchi wamejazana sana wanasubiria Usafiri. Nilikuwa na BMW nikatamani niweze wasaidia lakini sikuweza kiukweli.

Nikawa nawaza mwenyewe njiani, hivi maisha bila gari inawezekana kweli? Unaendaje sehemu yoyote ile? Ni mtihani sana, mimi naboreka haraka hata kutumia gari moja siku tatu mfululizo naona kama nitalichosha.

Ndo maana na-change leo BMW, kesho Benz, mara Jeep au Range Rover. Sababu naona maisha bila kuwa na gari mbili tatu ni mateso.

Huwa nasema mtu akishindwa sana angalau awe hata na Usafiri kama Harrier, Rav 4, Suzuki au Nissan. Hizi si mbaya you can move from one place to another.

Kwa mtu ambaye anategemea usafiri wa umma. Hivi maisha yake yanakuaje? Anaweza kweli kupanga ratiba? Anaweza kuwa na furaha? Ni ngumu sana.

Dar kila kitu shida. Mvua shida, jua shida. Mimi magari yangu huwa tu kuna kipindi nafanya mazoezi ya kushusha na kupandisha vioo ili visije sahau kushuka na kupanda.

Maana toka gari nmezinunua ni full time AC. Sielewi ningeishi vipi bila gari hapa nchini. Ni ngumu sana maisha yanakuwa magumu kama jehanamu nadhani sijui huko kukoje nasikia sikia maisha ni tough sana.

Mimi nashauri kijana ukimaliza tu darasa la saba tafuta usafiri hata ya milion 20. Uwe unakusaidia kwenye mizunguko yako ili upate akili baadaye uje kununua gari lenye akili.

Unajua magari ya Ulaya mengi ni Very Intelligent haya ya Asia mengi hayana Brain. Mimi gari zangu zinanitambua kwa alama za vidole, macho n.k

Natamani watu wengi wenye magari tungekuwa na ushirika angalau tufahamiane. Mimi spares zangu nachukua huko huko Ulaya na Marekani. sijui kama kuna maduka ya spares hapa Tanzania. Hivyo kama kuna mtu ana gari models za kuanzia 2017 mpaka leo za Ulaya na Marekani tuwasiliane.

Ukishindwa nunua hata Harrier au Vanguard au Rav 4. Usibaki sana nyuma nyuma katika maendeleo.
Hebu tuoneshe kidogo hyo funguo ya bmw,Benz,range Rover,Hummer kidogo mm Niko na kabbywalker changu Niko nacho shamba sangamwalugesha ili tukija mjin tukuone Mr misifa kiduku lilo
IMG_20200216_120702_9.jpeg


kilicho akilini kitumie
 
Hii ndo jamiiforum kwa kweli

Unaweza kuta huyu jamaa na misifa yake yote hii hajala chakula toka asuhuhi....

Ila ndo maisha yetu binadamu maana tumejificha nyuma ya keyboard zetu
 
Back
Top Bottom