Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nna pisi kali dunia nzima na sina mia..Kuoa pisi kali huku huna hela au hela yako ni ya mawazo ni kutafuta magonjwa ya moyo na presha. Kwa sababu zifuatazo:-
Kazi kwenu.
- Pisi kali haijui kutumia kuni
- Pisi kali haijui kulima
- Pisi kali haijui kuchumia ng'ombe majani
- Pisi kali haijui kushinda njaa
- Pisi kali haijui kula vyakula vya kawaida
- Pisi kali haijui kutembea kwa miguu
- Pisi kali haijui kutumia magari ya bei nafuu
- Pisi kali haijui kuzaa watoto zaidi ya wawili
- Pisi kali muda wowote inataka kiyoyozi
- Pisi kali hijui kama leo huna hela n.k
Tuwekee picha mkuu,tutathmini kama ni pisi kaliNna pisi kali dunia nzima na sina mia..
Alaf humuambi kitu ..
Mshahara wake wenyew unapita kwangu.
So huna point.
Demu akikuelewa akikuridhia imeisha iyo..
Hahaha mkuu toto moja la ki oman ataly sana na shule kaenda.Tuwekee picha mkuu,tutathmini kama ni pisi kali
Ha ha haHahaha mkuu toto moja la ki oman ataly sana na shule kaenda.
Mimuombe nini tena mungu mimi.
Mkuu demu akikuelewa kakuelewa t.
Na wanapendaga bila sababu hawa viumbe.
ha ha haKweli Asee Pisi kama ya Kajala ama Mobeto unaweza peleka shamba ikalime...???
Labda Pisi kali za Kishamba kutoka Kondoa Singida na Manyara huwenda ukazi nyundia lakini si hizi tulizo zizoea Insta
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sawa ni la ki-Oman hatukatai, weka picha tuone kama wengi tutamkubali kuwa ni pisi kali kama usemavyo. Weka picha!Hahaha mkuu toto moja la ki oman ataly sana na shule kaenda.
Mimuombe nini tena mungu mimi.
Mkuu demu akikuelewa kakuelewa t.
Na wanapendaga bila sababu hawa viumbe.
YesTafuta pisi kali moja haribu akili yake zeni kula maisha.
Hahaha mkuu toto moja la ki oman ataly sana na shule kaenda.
Mimuombe nini tena mungu mimi.
Mkuu demu akikuelewa kakuelewa t.
Na wanapendaga bila sababu hawa viumbe.
Na litakuacha pia bila sababuHahaha mkuu toto moja la ki oman ataly sana na shule kaenda.
Mimuombe nini tena mungu mimi.
Mkuu demu akikuelewa kakuelewa t.
Na wanapendaga bila sababu hawa viumbe.
Ni kwa muda tuNna pisi kali dunia nzima na sina mia..
Alaf humuambi kitu ..
Mshahara wake wenyew unapita kwangu.
So huna point.
Demu akikuelewa akikuridhia imeisha iyo..
Ngoja akucheze utajua hujui..Nna pisi kali dunia nzima na sina mia..
Alaf humuambi kitu ..
Mshahara wake wenyew unapita kwangu.
So huna point.
Demu akikuelewa akikuridhia imeisha iyo..
Kwahio Pisi za Manyara ni za Kishamba Mkuu..Kweli Asee Pisi kama ya Kajala ama Mobeto unaweza peleka shamba ikalime...???
Labda Pisi kali za Kishamba kutoka Kondoa Singida na Manyara huwenda ukazi nyundia lakini si hizi tulizo zizoea Insta
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Nna pisi kali dunia nzima..