Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Hapa mjin kila demu ni pisi kali sasa sijui tuanze kuagiza wanawake kutoka vijijin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta pisi kali moja haribu akili yake zeni kula maisha.
Weka kapicha mkuu,wananzengo waweze kutathminiMi nimeoa pisi kali mwaka huu mwezi wa 11 naipa mimba ya 4 shauri yenu nyie mnaowaogopa
Hii ni kwaajili yangu tuu siyo kwajili ya dunia nzima [emoji1787]Weka kapicha mkuu,wananzengo waweze kutathmini
Aaah za kule kule babu za kishambaa.Kwahio Pisi za Manyara ni za Kishamba Mkuu..
Naunga mkono hoja maana hata mimi ninaeNna pisi kali dunia nzima na sina mia..
Alaf humuambi kitu ..
Mshahara wake wenyew unapita kwangu.
So huna point.
Demu akikuelewa akikuridhia imeisha iyo..
Zipo nyingi tu, haihitaji uwe na hela nyingi. Ni kama unavyooa mwanamke mwingine yeyote tu!Sasa mpaka unaoa pisi Kali maana yake una hela wewe.
Pisi gani Kali itakubali kuolewa na kapuku?
Utakuwa unatunzwa na Wanaume wenzako.Nna pisi kali dunia nzima na sina mia..
Alaf humuambi kitu ..
Mshahara wake wenyew unapita kwangu.
So huna point.
Demu akikuelewa akikuridhia imeisha iyo..
Iyo mifano tumepigwa Mkuu [emoji23][emoji23]Kweli Asee Pisi kama ya Kajala ama Mobeto unaweza peleka shamba ikalime...???
Labda Pisi kali za Kishamba kutoka Kondoa Singida na Manyara huwenda ukazi nyundia lakini si hizi tulizo zizoea Insta
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kule amna pisi kuna matakataka😅Kwahio Pisi za Manyara ni za Kishamba Mkuu..
Acha kujifariji mkuu, wanawake wapo na siri nyingi sana. Kifupi hakuna pisi kali itakaa na wewe katika mazingira yasiyoeleweka sema kuna mdosi mmoja anapigwa hela ili kukupunguzia wewe majukumu coz unapendwa otherwise iwe pisi ya kawaida tu kama wale matellers wa UBA pale buguruni.Nna pisi kali dunia nzima na sina mia..
Alaf humuambi kitu ..
Mshahara wake wenyew unapita kwangu.
So huna point.
Demu akikuelewa akikuridhia imeisha iyo..