Kama huna hela usiombe namba

Kama huna hela usiombe namba

Hii coins haiwezi liwa mchwa kama alivyosema waziri wa fedha nitakaa nayo hadi nione upepo umekaaje
2021-04-15%2018.51.34.jpeg
 
Ungejua wenye hela ndio wagumu kuhonga kuliko sisi maskini.. sisi maskini ndio tunawabeba wanawake sana kwa vi hela vyetu viduchu

Wanawake wanalijua hilo.. kumpata tajiri muhongaji sio kazi ndogo..

Matajiri ama wenye hela waliotafuta wenyewe ni wabahili sana. Maana wanaheshimu hela...
Ni kweli mkuu
 
Yamenikuta mimi haya mademu wa kali wote nimetonhoza mwezi huu na wanakubali hilo halina shida tatizo pesaaaa wanaanza na true love hawaombi vocha wanapiga wenyewe usiku mnaongea ila ukiomba tuu game hapo ndo balaaa....nina mengi nimejifunza tutafte pesa wanawake wazuri wote wapo single na hawakatai aiseee
Wanaombaje vocha wakati halotel wanatoa dakika 100
 
Baada ya kula tunda kimasikhara tuhamia hapa sasa[emoji23][emoji23][emoji23] ni nacho jua mwanaume ukiwa smart na una pesa aisee utawala sana mademu yaani hata usipo wa honga wanakujaga wenyeweeee***** kuna jamaa yangu alinifinyia hili pande nika daka. [emoji2958]
Ni kweli.
Na inategemea unatongoza mademu wa aina gani.

Kuna mademu ni wasumbufu tu kutoa match yani, unakuta lizuri kabisa ila kutiwa halitaki na mapenz halijui.
Lakini ukidondokea kwa ambae anajua vizuri utamu wa kusuguliwa aisee ni raha tupu, ukimuita sehemu ya kifahari tu analeta papuchi unaichalaza vizuri kabisa.
 
Aisee ni balaa namba tatu zote nilizoomba nimepiga hesabu nikisema niwape hela walizoniomba ni kama Laki Moja inapukutikaa chap..!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hakuna cha mke wa mtu wala nini wote wanalia njaaaa mara sijui vikoba sijui naumwaa khaa acha nibaki Njia kuu kwa kweli.

Ukiona mwanaume malaya jua ana Helaaa. Ukiona mwanaume anajida katulia na mmoja huyo Maskini mwenzetu yani.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Ndio umegundua leo
 
Ungejua wenye hela ndio wagumu kuhonga kuliko sisi maskini.. sisi maskini ndio tunawabeba wanawake sana kwa vi hela vyetu viduchu

Wanawake wanalijua hilo.. kumpata tajiri muhongaji sio kazi ndogo..

Matajiri ama wenye hela waliotafuta wenyewe ni wabahili sana. Maana wanaheshimu hela...
Ni kweli kabisa unachokisema, wanawake huwa wanawashobokea wakitegemea watapata pesa na kuishiwa kuliwa bure. Wanachofaidigi ni misosi tu na vyakula wakatai wa kumeet.
 
Back
Top Bottom