Kama Huna Pesa Challenge!!

Kama huna pesa baki geto, niko bar nakula raha siwazi ya kesho.../

Huna pesa ni haki yako kutoswa, mademu wanataka pesa kwa maneno unajichosha.../

Utu hupimwa kwa kipande cha sarafu, kama huna hela hata uoge utaonekana mchafu.../

Maskini huna haki kwenye court, utaenda jela kwa kuuziwa kesi na mwenye noti.../
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…