Dira Kali JF-Expert Member Joined Dec 12, 2020 Posts 343 Reaction score 409 Dec 18, 2020 #1 Wadau karibuni tutupie vioja kuhusu ''Kama Huna Pesa Challenge''
Kanyamulano JF-Expert Member Joined Nov 25, 2017 Posts 905 Reaction score 872 Dec 18, 2020 #2 Mfungwa hachagui Gereza
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,394 Reaction score 59,069 Dec 18, 2020 #3 Kanyamulano said: Mfungwa hachagui Gereza Click to expand... Mcqueenen said: yamekuwa hayo tena? Click to expand... 😂😂😂😂
Kanyamulano said: Mfungwa hachagui Gereza Click to expand... Mcqueenen said: yamekuwa hayo tena? Click to expand... 😂😂😂😂
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 Dec 18, 2020 #4 Kama huna pesa baki geto, niko bar nakula raha siwazi ya kesho.../ Huna pesa ni haki yako kutoswa, mademu wanataka pesa kwa maneno unajichosha.../ Utu hupimwa kwa kipande cha sarafu, kama huna hela hata uoge utaonekana mchafu.../ Maskini huna haki kwenye court, utaenda jela kwa kuuziwa kesi na mwenye noti.../
Kama huna pesa baki geto, niko bar nakula raha siwazi ya kesho.../ Huna pesa ni haki yako kutoswa, mademu wanataka pesa kwa maneno unajichosha.../ Utu hupimwa kwa kipande cha sarafu, kama huna hela hata uoge utaonekana mchafu.../ Maskini huna haki kwenye court, utaenda jela kwa kuuziwa kesi na mwenye noti.../
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 19, 2020 #5 Kila kitu anasa kwako... Cc: mahondaw