Kama hutaki kupoteza pesa yako usinunue gari aina ya toyota passo

Kama hutaki kupoteza pesa yako usinunue gari aina ya toyota passo

Hii gari sijiu ilitengenezwa kwa ajili ya wenye uzito mdogo, mkitimia wote watu watano kana titia utazani umebeba magunia ndani.

Gari laini sana kwa mazingira yetu mpaka barabara, unabadilisha miguu chini kesho hiko vile vile.

Nahisi kalitengenezwa kwa ajili kuzungukia mitaa midogo.

View attachment 2463131
Kuna jamaa yangu kaenda Nako mwanza from dar, watu wana roho ngumu aisee
 
Hii gari sijiu ilitengenezwa kwa ajili ya wenye uzito mdogo, mkitimia wote watu watano kana titia utazani umebeba magunia ndani.

Gari laini sana kwa mazingira yetu mpaka barabara, unabadilisha miguu chini kesho hiko vile vile.

Nahisi kalitengenezwa kwa ajili kuzungukia mitaa midogo.

View attachment 2463131
Labda tatizo lipo kwenye hiyo yako mbona ile ya LeMutuz haititii
 
Unajua hivi vitu vya kuja hatujui matumizi yake kwanusahihi hebu nipe sababu za ac kufa hebu nipe sababu za ww kujaza watu wazito kuliko uwezo wa gari wenzetu waliotuletea hivi vitu wamechanganua vizuri matumizi ya gari imagine mtu ana kg 90 mke ana kg90 na waliopakiwa nyuma wana kg zisizopungua 78 kila mmoja hapo kuna nn kinatokea.

Matumizi ya gari ni jambo muhimu la kujua kabla ya kununua ila tunaendekeza umaskini mtu unataka kumiliki gari na hujajipanga. Mm nina mshkaj wangu ana passo ilikua usajili DMZ alitumia sana sijawahi sikia ikimsumbua mpka kaiuza ikaenda kuwa uber na bado nikawa naiona road akavuta nyingine usajili DPE na anakasukuma mpka leo hakana tatizo tunalia na matumizi ya gari na kulijali
Tatizo la A/C kufa inatokana na muda wake kuisha. Usisahau Magari mengi mjini ni ya mwaka 2004!
 
Tatizo la A/C kufa inatokana na muda wake kuisha. Usisahau Magari mengi mjini ni ya mwaka 2004!
Kwahyo inakua imeisha au imekufa hebu tofautisha hayo mambo ikiisha haifai kujaza? Au hakuna spea za vifaa vya ac kwa passo? Au mimi ndio sielewi hapa
 
Haka kagari ni kazuri sana. Ila ni kwa ajili ya familia changa. Baba, mama na nyuma watoto wadogo. Hiki kigari kina shida mbili muhimu. Stearing Rack (?) huwa inagonga hata ufanye nini; pili kikifa A/C haitengenezeki. Hivyo unafungua vioo tu. Kwetu wazee ndiyo mwisho wake. Tatizo la mwisho ni kuwa hakiuziki, ukitaka kukiuza wanakueleza million 2 wakati pikipiki ni million 2 na laki saba.

All in all ni kigari kizuri, kigumu na mafuta kinatumia kidogo 12 KM for only one litre
Kwa gari ya CC's ndogo below 1200 ni faulo kali sana kutumia lita 1 kutembea 12km.

Hapo mimi ndipo niliona upuuzi wa hii gari. Ukitaka kupata milage nzuri ni usibebe mizigo wala watu utaona kanaenda at least 14km per lita.

Sasa ukitazama gari kama WISH tu ambayo imeizidi hii kwa CC's na hata body size, inatembea above 15K kwa 1litre. Kwann nihangaike na hii?!
 
Back
Top Bottom