Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Asante kwa ufafanuziMndali wewe ni kwamba huelewi kweli au makusudi
Huyu apa mwenye hatimiliki ya kuniita vyovyote apendavyo,the only man i love,mwanaume mwenye mapenzi ya kweli kuwahi kutokea duniani hapa
Dreka yeye anataka kuniuzia kesi,hili jina alilonitunuku litasababisha nipewe talakaView attachment 736215
Aiseeee
Nimewamis mtu na mkewe
Kwema naona raia wanakunyapia nyapiaShem kwema?
Mmoja tu nanga inapaa,wawili ntawawezea wapi mndaliAsante kwa ufafanuzi
Maana nilijua unamiliki wawili ndio maana nikapata matatizo ya kuwaza na kujua lengo la kumiliki wawili
Tupo tunatafuta ugali.Nimewamis mtu na mkewe
Aaaah wapi nimekomalia kwa hazard,koli koliKwema naona raia wanakunyapia nyapia
Hata mm naonaAaaah wapi nimekomalia kwa hazard,koli koli
Bado sikukuu yangu shem,ikifika wote hamtakiwi kwenda kazini[emoji23]Tupo tunatafuta ugali.
Sikukuu zmeisha
Sjapata majibu mkuuKila la heri Mkuu.
Itakuwa lin hioBado sikukuu yangu shem,ikifika wote hamtakiwi kwenda kazini[emoji23]
[emoji23] jmos ijayo[emoji125] [emoji125]Itakuwa lin hio
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mmoja tu nanga inapaa,wawili ntawawezea wapi mndali
Venue wapi[emoji23] jmos ijayo[emoji125] [emoji125]
Nimekumiss pia wifi. Hazard hajambo?Nimewamis mtu na mkewe
[emoji23] [emoji23] dreka kaamua tu kunifanyia makusudi.[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ujue wanaume tunasema taratibu utanielewa
Hili neno ndio analo tumia drek
Jitahidi kushikilia upo shikilia
Maana tunasema njia unayo iamini ndio njia sahihi
Naona hili somo kalipata kama hajaelewa basi nitalipa ada arudi shuleMmh. Hata sijakuelewa Dj hivyo kwa mwanamke anayeacha PM wazi lengo lake ni mtongozo ama tumeongea lugha mbili tofauti?
Nataka nikwambie kitu kimoja Pm zina mambo mengi wengine tumejipatia ndugu, marafiki wa kweli huko huko Pm.
Nadhani muwe na kauli njema tu huko PM na pia uelewa ndio jambo la muhimu kati ya muendaji na yule mfatwaji sababu sidhani kwamba mtu kusema sihitaji mwanaume wa jf ni vibaya bali nyie mnaoambiwa hivyo muwe na jicho la tatu kwani kiuhalisia sio wanawake wote waliopo jf wanataka wanaume hivyo huwezi sema mwanamke afunge PM kisa asitongozwe hamna kitu kama hicho.
Na pia inatakiwa ujue sio kila mtongozo lazima utiki kuna inayobuma pia.
Utataarifiwa usiwazeVenue wapi