DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Hakuna card?Utataarifiwa usiwaze
Ya kitu gani?Sjapata majibu mkuu
Sawa[emoji23] [emoji23] dreka kaamua tu kunifanyia makusudi.
Ngoja akuje nimwambie asintilie kitumbua mchanga
STTPYa kitu gani?
Mi nakusalim tuYa kitu gani?
HayaaSTTP
Majibu yake unayajua mpenz?Hayaa
Nashukuru. Za wewe hapo?Mi nakusalim tu
Siyajui mpenziMajibu yake unayajua mpenz?
Mi hapa niko kama mungu alivyo penda niweNashukuru. Za wewe hapo?
Uwezi kumnyima mdada wa jf uhuru kisa eti akitongozwa atasema sitaki mwanaume jf. Lol.Naona hili somo kalipata kama hajaelewa basi nitalipa ada arudi shule
Halafu jamaa hela anayo, hahaaaa hapo warembo lazima wanaseSasa Mkuu Sura yake hapo ugum uko wap?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unajua tatizo wavulana wanaharibu taswira ya wanaumeUwezi kumnyima mdada wa jf uhuru kisa eti akitongozwa atasema sitaki mwanaume jf. Lol.
Wenye kufunga kama kina sie baada ya kuona tumepata ndugu na marafiki wakutosha hapo sawa ila kwa wale ambao wanaona PM kukaa wazi kwao ni amani waiache tu kwa kweli.
Na hapo inachotakiwa wanaume ndio wajue namna ya kujiongeza wakija huko PM na sio kushika chuki kisa mdada amesema kweli yake.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwa hii copyView attachment 736146 kalambe wengine
Okay dearSawa
Ngoja niendelee kuyatafuta
Huku tuko wazima mkuu tuko kwenye harakati za kumpumzisha rafiki yangu kwenye makao ya mileleMi hapa niko kama mungu alivyo penda niwe
Sijui pande hizo
Hiyo pic imesambaaa Sana WhatsApp ikidai kwamba mtot anabahat mbay maana kafanana na Sura ya jamaaa kwahy inambidi asome Sana Kwa usawaa huu wa magu eti hakna kidumee atakae kubali kuwa nae ilaa huyo akiwa na mkwanja Tu kuna vidume watalelewaa na hyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Halafu jamaa hela anayo, hahaaaa hapo warembo lazima wanase
Poleni sana mungu awape uvumilivu na awatie nguvu katika kipindi hili kigumuHuku tuko wazima mkuu tuko kwenye harakati za kumpumzisha rafiki yangu kwenye makao ya milele
Asante mkuuPoleni sana mungu awape uvumilivu na awatie nguvu katika kipindi hili kigumu