Hizo dodoki za kitambo sana sijui zinapatikana wapi??Kama hutumii dodoki na kijiwe asee hutakati. Ni sawa tu na kunyeeshewa na mvua.View attachment 2001931
Dalili moja wapo ya umaskini na msongo wa mawazo ni kutumia dodoki
Depression is real wakuu tusaidie ndugu zetu
Michelle ipo tuwe makini au na wewe unatumia mawe au yale makambakamba (dodoki) kukwangua mgongo wako ?Aki hii coment imenichekesha π€£π€£π€£π€£ depression is real
πππ kweli kabisaDalili moja wapo ya umaskini na msongo wa mawazo ni kutumia dodoki
Depression is real wakuu tusaidie ndugu zetu
Niliamua niwe free na social networks kwa muda nyie wazungu mnaita vacationπππ kweli kabisa
Ulipotelea wapi
Ulifanya vema sana, sometime akili inahitaji kupumzishwa na fujo za ulimwengu.Niliamua niwe free na social networks kwa mda nyie wazungu mnaita vacation
Upo mama lao nimekukumbuka sana
We mtu upo? Ulipotea sana, hivi hata unajua kuna kitu kipya mtaani 'KingFisher?Yes miss
Michelle ipo tuwe makini au na wewe unatumia mawe au yale makambakamba (dodoki) kukwangua mgongo wako ?
π π π Daah! JF is never boring!!Dalili moja wapo ya umaskini na msongo wa mawazo ni kutumia dodoki
Depression is real wakuu tusaidie ndugu zetu
Haha nimekiskia ..kweli nimepitwa na mengi, hicho kikoje kabla hatujajaribu?We mtu upo? Ulipotea sana, hivi hata unajua kuna kitu kipya mtaani 'KingFisher?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dalili moja wapo ya umaskini na msongo wa mawazo ni kutumia dodoki
Depression is real wakuu tusaidie ndugu zetu