Kama hutumii dodoki kukoga uchafu bado unatembea nao

Kama hutumii dodoki kukoga uchafu bado unatembea nao

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Kama hutumii dodoki na kijiwe asee hutakati. Ni sawa tu na kunyeeshewa na mvua.
20211107_112946.jpg
 
Niliamua niwe free na social networks kwa mda nyie wazungu mnaita vacation


Upo mama lao nimekukumbuka sana
Ulifanya vema sana, sometime akili inahitaji kupumzishwa na fujo za ulimwengu.

Mie nipo, ulimisika sana pia and am glad you are back
 
Kweli wewe ni mhenga, bado unatumia hayo madude!?
 
Kama Dodoki inaondoa Uchafu mbona Taulo zinachafuka?
 
Back
Top Bottom