Kama hutumii mbinu hii katika biashara bado wewe sio mfanyabiashara bali mjaribu biashara

"Hiyo sio brand, rudi kajifunze kuhusu brand"

Halafu mtu anakula kona kamaliza hapo ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Musimpopoe jamani, ameeleza vizuri ispokuwa yeye amebase kwenye brand name, ingawa brand ina vitu vingi ndani yake kama vile Name, Visual identities (logos, mabango n.k), values (thamani/tunu) na kadhalika.

Na pia inaenda sambamba na marketing pia, maana kufanya branding pekee bila marketing ni tatizo pia.
 
JF yule wa kwanza kureply mawazo yake katika post ndo hayo hayo wanatembea nayo wanaofuata๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mtoa mada nadhani ameongelea kuipa jina biashara yako linalotambulika ama litakuwa utambulisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ