Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa uchochezi huu Hata Hamdu Shaka ni MchocheziKama huu ndio uchochezi, basi wananchi wengi ni wachochezi.
Huu ndo wimbo unaotumika kutaka kumuangamiza Vitali Maembe,pamoja na "nyimbo nyingine".
Sambaza Link ya Wimbo huu ili umma uamue kama anastahiki kuhukumiwa au kutuzwa.
View attachment 1997547
Wanatuuzia vitanda kisha wanatunyuma usingizi🤣🤣Kama huu ndio uchochezi, basi wananchi wengi ni wachochezi.
Huu ndo wimbo unaotumika kutaka kumuangamiza Vitali Maembe,pamoja na "nyimbo nyingine".
Sambaza Link ya Wimbo huu ili umma uamue kama anastahiki kuhukumiwa au kutuzwa.
View attachment 1997547
Aliyeamuru akamatwe ni yule masalia wa Magufuli Hassan Abbas .
Halafu jamaa alikuwa muongo balaa !!Nilikuwa namchapa sana za uso kule Twitter kwa uongo wake wakati akiwa msemai uongo wa Taifa hadi akaamua kunipiga tofali.
Halafu huyu jamaa ni Dr.Nilikuwa namchapa sana za uso kule Twitter kwa uongo wake wakati akiwa msemai uongo wa Taifa hadi akaamua kunipiga tofali.
Kwani Ndugai alisomea niniHalafu huyu jamaa ni Dr.
Huko shuleni sijui alienda kujifunza nini.
Ndugai hana PhDKwani Ndugai alisomea nini
Ukiwa na PhD ndio unaakili kama Mwendazake eti .... Yaani yule hata motoni ageuzwe geuzwe aive vizuri kama mshikaki ...Ndugai hana PhD
Ala kumbe ni mpiga filimbi wa ACT, anatumia sanaa kukashifu serikali, wacha anyee debe,akamtukane baba yake ndio mufurahi
VITALI MAEMBE-KAIZARI Oktoba 2021