Kama huyu ( pichani) ndiye Ebitoke, nakubaliana na wanaosema haendani na Ben pol ( mbovu)

Nahisi Ebipol alikuwa demu wako... Ukamtupa, sasa kawin u umeanza figisu
 
mwanangu mbona ume muendama sana ben pol na ebi toke
una interest gan nao?
Labda alikuwa akipumuliwa anaona wivu. Mapenzi ya mtu yanamhusu nini? Anajua Ben amependa nn kwa huyo toto dogo?
 
Mbona mnamuonyesha sura tu? Kuna wengine watakuambia sura hata mbuzi anayo, mwanamke msambwanda. Kuna uzuri wa nje (sura, umbo, rangi) na kuna uzuri wa ndani (tabia, elimu-asili na ya wazungu, uvumilivu,ustaarabu,nk). Ukimdharau mtu kwa muonekano wa nje, unaweza kujinyonga kukuta ndiyo anakuibia mume/mke wako.
 
Mbona Huyo binti mzuri tu. We hujui kuangalia. uzuti.
Hizo picha ulizoziona wewe no za kazi.( kwenye kuvaa uhusika, ) unataka aigize kama binti mshamba akafu apige make ups za kijanja?
Hivo anavyoweka hizo make up ndio sahihi anatendea haki huo uhisika
 

huo msambwanda autos wapi? unamcheka
 
sijamuandama Bali naongea ukweli, siyo kama nyie mnaompaka matope
Ukweli wa nini wakati wenyewe mioyo yao imekubaliana, ndio nyinyi mawifi mnakua na gubu kwa mke wa kaka bila kujali hisia za kaka yenu, lol
pity.
 

Mtoto mbona mtamu huyo ana shida gani..?? Huyu jamaa atakua na chuki binafsi sio siri

hiyo ni edited other wise useme yule aliyeko pale juu siyo yeye
 
Hiyo ni mapozi ya comedy tu.lkn akipiga make up utamkataa
 
hiyo ni edited other wise useme yule aliyeko pale juu siyo yeye

Tuambie mwanamke unayemuona mzuri kuliko wote TZ tutakwambia side ya uozo wake....!! Au tuwekee picha ya mwanamke wako hapa
 
Mwanaume kujadili mapenzi ya mwanaume mwenzake napata ukakasi
 
chuki zikizidi mwisho wake utakuwa mchawi.
WATCH OUT!GAY
 
Hapo kajiweka kisanii wewe !! nafasi yake anaigiza kama msichana mshamba !! hizo make up za kishambaa zote na kwa ajili ya kutengeneza uhusika huo ila nje ya usanii ni msichana mdogo na mrembo kabisa
 
Mtarban hujui kitu kuhusu mwanamke ! Mbovu wapi ?sura? maumbile ?haiba yake ? Au unamlinganisha na nani? Anza na (samahani lakini)dada zako shamgazi bibi zako mama zako ,mke /demu wako kulinganisha nae halafu uje hapa utiambie nani anavutia !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…