Kama huyu ( pichani) ndiye Ebitoke, nakubaliana na wanaosema haendani na Ben pol ( mbovu)

We jamaa utakuwa unakalia mhogo wa jangombe sio bure ....watu kupendana we inakuuma nini? Au ulitaka aje kwako..
Shubaaamit!! Zako!!!!
 
Tuwekee kapicha ka demu wako ili tujiridhishe ukiweka ya demu wako malizia na ya Dada ako
 
Itakua alikua demu wake sasa amemwagwa ameona amkandie mitandaoni

hawezi kuwa demu wangu maana amedai kuwa hajawahi kulala na mwanaume na Mimi nikiwa na demu hiyo ndio salami ya kwanza
 
Hayo mambo ya kike aisee...kama haendani nae nani anaendana nae? Wewe sio....mwanaume akifanya uamuzi kama huo muache sababu anajua anachokipata..kama huyo dada hatoshi nenda wewe
 
Nilipokuwa naona sredi zinazowakashifu vijana wa kiume hapa Dar es salaam nilikuwa nakereka sana.....

Lakini kwa mtiririko huu....ni wazi kuwa kuna tatizo kwenye malezi ya vijana wa hapa jijini.......

Hili bandiko haliwezi kutoka kwa kijana wa kiume anayepambana na majukumu mbali mbali ili kukidhi mahitaji yake......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…