Kama ikiwa hivyo basi Wema Sepetu atavunja rekodi Tanzania


Hapa ndio hua naumwa nikikukosa jamiii, kumbe yalikua hivyoo.aiseee kajala kiboko kwa hiyo maltida yule wa shigongo au mwingineee
 
Atakua wa kwanza kuolewa kwa hio mahari na kutangazwa kwenye magazeti na radio,,,,,,,, but mbona watu wanaolewa kwa mahari za daf ,,,, scania wako kimya
 
Binamu usiogope...yule anayekamata watu yupo msibani Tangaaaaa, anajipiga selfie tu saa hizii...

We tiririka tu kama maji ya mlima Kilimanjarrrrrooo....

Hhhhhaaaaaaaa weeee usimdanganye binam yangu buree
 
hao ni waislam bint ndo hutaja mahari yake kama wema amesema nibure hiyo ndo itakuwa mahari sahihi
 
Ananisimulia mie ndio kaniquote we soma tu

ebu nipokee binamu, mtu ukiona mazungumzo hayakuhusu pita kuleeee, ebu tuendelee sisi apa, maana nilimisi umbea kiama, kwa hiyo ndo vile binamu, cha upambe ndo yaliyomkuta, kalala polisi aiku mbili mamaye, si wanamuonaga mama ubaya ndo mungu mtu wao, sasa kilichomfanya alale ni kitu gan? ndo timu zao wajifunze sasa
 

Hhhhhaaaaaaaa warumi kibokoo aiseee ee bina walikomeshwaaa yaan police wakawazuiaa alaa alidhan akifika police tu nao ni timu yake hhhhaaaaaaa
 
ni kweli nimepishana nae kwa papa. vipi warumi acha woga bana yule alidakwa kwa kuchomwa maana kumbuka mwanzo kajala na wema walikua team moja hivyo wanajuana

Aisee ukipishana nae tena mwambie nampa hi tu ... ila naomba laki moja
 
Last edited by a moderator:
Sipati picha tabia za mazao yao zitakavyokuwa,any way mungu awabariki sana.
 
Mimi mwenyewe nimetoa mahari ng'ombe 500,Mbuzi 1000,Kondoo 1000,Majogoo 100,000,000,Nguruwe 5,000 haya ebu niambie Wema ataweza kuvunja rekodi yangu.

Hapo hawezi
 
na akumbuke mahari huwa haiishi.nishashuudia ndugu wanalipa mahari ya babu yao alikuwa hajamaliza hadi amefariki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…