Kama ikiwa hivyo basi Wema Sepetu atavunja rekodi Tanzania

Kukosa elimu na kuelimika ni tatizo kubwa. Ongeza na ulimbukeni wa vijisenti. Dogo hana washauri it is just a matter of time!!!!

Kweli tupu aisee uelewa ni janga kwa wasanii wengi na kupenda sifa za kijinga na kuandikwa upuuzi
 
mi naona mzee wa ngololo akitoa iyo milion 100 ni haki kabisa mtoto mzuriii tena mashaallah
 
Hiyo michirizi mbona ni shiiiida kah sijui alifanyaje ikamtoka mingi hivo na inaharibu sana hiyo atafte dawa

Wanasema dawa inapunguza tu haimalizi tatizo, hapo hajazaa akizaa hutamuona anaachia tumbo maana anaonekana anayo michiriz mingi
 
Wanasema dawa inapunguza tu haimalizi tatizo, hapo hajazaa akizaa hutamuona anaachia tumbo maana anaonekana anayo michiriz mingi

binamu yani apa ata sipigi umbea vizur, jamii forum application yangu ata haifany jaz, nime download inakataa kuji install, dah ini shidaaa, sijui itakuwaje
 
Itakua analipia tangu walipo anzana mpk watakapo oana
 
Wanasema dawa inapunguza tu haimalizi tatizo, hapo hajazaa akizaa hutamuona anaachia tumbo maana anaonekana anayo michiriz mingi

Hii yake imezidi ka zebra na mikorogo inachangia sana hii michirizi na inaharibu hatar tena akiwa mja nwepesi itazidi mara dufu akitumia kitu ina pungua haya mamikorogo yao wanayo tumia ni shiiida
 
aseee kumbe naweza kuinvest kwenye uzazi....
ngoja nikomae!!!!
 
Hii yake imezidi ka zebra na mikorogo inachangia sana hii michirizi na inaharibu hatar tena akiwa mja nwepesi itazidi mara dufu akitumia kitu ina pungua haya mamikorogo yao wanayo tumia ni shiiida

Yaan ni shidaaaaa hii michirizi ni ugonjwa wa taifa
 
binamu yani apa ata sipigi umbea vizur, jamii forum application yangu ata haifany jaz, nime download inakataa kuji install, dah ini shidaaa, sijui itakuwaje

Kwanini punguza vitu kwenye simu labda umejaza mno ukiinstall inakuandikiaje kwenye play store
 
Kwanini punguza vitu kwenye simu labda umejaza mno ukiinstall inakuandikiaje kwenye play store

na download mpaka mwisho, wakat wa ku install ndo inaji install mpaka kesho kutwa, ilikuwa inasumbua ndo nika un install najaribu kudownload inazingua, yan napitwaje maana uku ninakoingilia jf ata sijapazoea mtu akini quote sijui wala nn mpaka niingie kuchungulia, nime mind kwel
 
Umelewa gongo viroba na ugoro
 
Hii yake imezidi ka zebra na mikorogo inachangia sana hii michirizi na inaharibu hatar tena akiwa mja nwepesi itazidi mara dufu akitumia kitu ina pungua haya mamikorogo yao wanayo tumia ni shiiida
mistar kama waaaat?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…