Kibajaji akirusha ngumi kwa Lema ilikua inajibiwa kwa uzito unaowiana, sasa leo akirusha kwa Esther Matiko ni unyanyasaji wa kijinsia. Pia ujue hao Covid 19 wako chini ya mbawa za KITI kikuu cha bunge, hawapaswi kurushiwa ngumi.Wabunge wa CCM watarushiana madongo na Covid 19 kutoka Ufipa!
Rejea post yangu namba 14.Nilikuwa sijaona,kumbe umeshamuweka sawa.
Sioni jipya,zaidi ya kupinga usimamizi wa sheria ili kodi ikusanywe.Rejea post yangu namba 14.
Sipingi kodi kukusanywa, bali nasema maigizo na vitisho vya nini, wakati lengo na rekodi imevunjwa bila hayo maigizo na vitisho?Sioni jipya,zaidi ya kupinga usimamizi wa sheria ili kodi ikusanywe.
Leo naona umepona kidogo ugonjwa wakoNajiuliza tu kwa kuwa wakati wa kampeni tuliambiwa katika maeneo mengi ilani ya CCM imetekelezwa kwa 100% na maeneo machache kwa zaidi ya 95% inakuwaje tumbua tumbua iendelee kwa kasi kubwa?
Kwa mfano Naibu waziri wa maji, Naibu waziri wa afya, Naibu waziri wa Tamisemi, waziri mwenyewe wa Tamisemi na waziri wa maji kazi kubwa wanayoifanya kwa sasa ni kutumbua tu.
Nilidhani ziara za mawaziri zingekuwa za kuwapongeza watendaji zaidi kwa kutekeleza vema ilani ya CCM msimu uliopita badala ya tumbua tumbua.
Maendeleo hayana vyama!
Hajui hata anafanya niniNasema uwongo ndugu zangu, tumecheleweshwa munooo ... wapinzani wametuchelewesha kweri kweri.... huwezi ukakaa na mtu anakutukana harafu anataka umupelekee maendereo.. ingawa maendereo hayana chama ira loho inakataa.. nireteeni wa CCM ili niwatumbue. Hawa sijui hata wanatokea wapi siwezi kuwatumbua..nasema ukweri na msema kweriiii ni mpenzi wa Mungu
Shimboni shafo Babati?Leo naona umepona kidogo ugonjwa wako
Hahaha umepata kazi ya ulinzi kwa mchaga nini mzee?Shimboni shafo Babati?
Hahahaaaa.......!Hahaha umepata kazi ya ulinzi kwa mchaga nini mzee?
MATAGA mlijipa wenyewe jina.Unasemaje wewe MACHAGA?