BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Kenya Imejengwa barabara ya juu kwa juu kutoka Jomo Kenyata International Airport hadi katikati mwa Jiji, ni Barabara ya kama km 26 hivi kama sikosei na ni mwendo wa juu kwa juu.
Kinacho nishangaza sioni wala kusikia ikipewa promo na wanasiasa wala Raia wa Kenya wakiiuzungumzia kabisa hii Babara yao au kwa sababu ni ya Kulipia? Lakini mbona lile Daraja la Kigamboni lilipewa promo ya kutisha?
Hakuna Maandamano ya kupongeza wala hakuna vipindi maalumu au watu kuitwa studio wakapongeze na kusifia na kuabudu.
Hii ingejengwa hapo Dar kusingekalika kabisa, kungekuwa na Vipindi Maalumu vya kusifu na kuabudu kwenye Television station zote, Zingeisha tungwa nyimbo za kusifia. UVCCM wangeisha andaaa matembezi ya kupongeza, Bungeni sasa ndo kabisa ingekuwa ni mwendo wa kupongeza, Wale waigizaji wangeiasha andaa press confrence za kusifia.
Tanzania nashindwa kujua tunakwama wapi make sijui ni mambo ya Exposure lakini mbona waabudu wengine ni watu wana Exposure?
Kinacho nishangaza sioni wala kusikia ikipewa promo na wanasiasa wala Raia wa Kenya wakiiuzungumzia kabisa hii Babara yao au kwa sababu ni ya Kulipia? Lakini mbona lile Daraja la Kigamboni lilipewa promo ya kutisha?
Hakuna Maandamano ya kupongeza wala hakuna vipindi maalumu au watu kuitwa studio wakapongeze na kusifia na kuabudu.
Hii ingejengwa hapo Dar kusingekalika kabisa, kungekuwa na Vipindi Maalumu vya kusifu na kuabudu kwenye Television station zote, Zingeisha tungwa nyimbo za kusifia. UVCCM wangeisha andaaa matembezi ya kupongeza, Bungeni sasa ndo kabisa ingekuwa ni mwendo wa kupongeza, Wale waigizaji wangeiasha andaa press confrence za kusifia.
Tanzania nashindwa kujua tunakwama wapi make sijui ni mambo ya Exposure lakini mbona waabudu wengine ni watu wana Exposure?