Kama ilivyo kwa Tanzania, CCM kushinda kila term ndivyo itavyokuwa kwa Kenya Rais kuwa Mkikuyu au Mkalenjin

Kama ilivyo kwa Tanzania, CCM kushinda kila term ndivyo itavyokuwa kwa Kenya Rais kuwa Mkikuyu au Mkalenjin

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Big up kwa Kenya kuwa na Demokrasia kiwango cha juu kuzidi Tz lakini linapokuja swala la uraisi kuna utofauti mdogo sana kati ya Tz na Kenya .

Kiti cha urais kina mamlaka makubwa sana, hii ni nafasi executive sio ya kuiletea masihara hata kidogo na kuna system tayari ipo kuhakikisha kiti hiki kitakuwa cha fulani kwenye chaguzi.

System ya Kenya tayari ipo kumuweka Mkikuyu au Mkalenjin, Thats it, End of story, Ikija kutokea vinginevyo labda wamweke puppet kutoka kabila dogo wanaeweza kumcontroll ili kupooza kelele za ukabila.

Hii uchaguzi ni kama mind games tu, hata political party tofauti ikishinda bado itabidi raisi awe katoka huko, Elections are just mind games, Hata raila kawa victim wa hizi mind games, alicheka sana na kufurahi pale Kenyatta alipokuwa anampa support na kumrushia maneno Ruto, guess who had the last laugh 😁😁 Mission done, Mission complete, Hiki kiti kina wenyewe.
 
Hiyo sio final.kuna improvement kikubwa mtu ajijenge haswa.ukijijenga tangia awali na kujiingiza kwenye system basi wakati ukifika atapata hata muislamu
 
Kwa Tanzania lazima rais atokee CCM, kwa kenya rais lazima atokee kikuyu au kalenjin. Naweza nikakubaliana na hilo, maana Tangu uhuru hakuna kilichowahi kuwa kinyume na utaratibu au mpangilio huo.
 
Hiyo sio final.kuna improvement kikubwa mtu ajijenge haswa.ukijijenga tangia awali na kujiingiza kwenye system basi wakati ukifika atapata hata muislamu
Its posaible lakini its not easy, mabadiliko mengi sana inabidi yafanyike, speaking of the obvious watu wataoshiriki hio process ya kushinikiza mabadiliko inabidi wajiandae kurisk maisha yao aidha kuuwawa, kufungwa jela, n.k
 
Kwa Tanzania lazima rais atokee CCM, kwa kenya rais lazima atokee kikuyu au kalenjin. Naweza nikakubaliana na hilo, maana Tangu uhuru hakuna kilichowahi kuwa kinyume na utaratibu au mpangilio huo.
Tofauti ni kwamba tu hapa Tanzania hakuna ukabila kwenye uraisi na kwa kenya raisi anatokea chama chochote ila awe makabila hayo mawili
 
Tofauti ni kwamba tu hapa Tanzania hakuna ukabila kwenye uraisi na kwa kenya raisi anatokea chama chochote

Wenyewe chama chao ni kikuyu au kalenjin, licha ya kuwa jina la nje linabadirika badirika. Mara odm, n.k.
 
..hii yote ni kujaribu kuu-discredit uchaguzi wa Kenya.

..bahati nzuri kila mtu ameshuhudia kilichotokea ktk uchaguzi.

..majority wanaamini uchaguzi wa Kenya ulikuwa huru na wa haki kuliko uchaguzi wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom