Good-bye
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,085
- 1,812
😉🤜Msilaumu mtu bhana, hata mngeshinda nyie bado ni wa pili, acheni mpigwe tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😉🤜Msilaumu mtu bhana, hata mngeshinda nyie bado ni wa pili, acheni mpigwe tu.
Mkuu hii azam ni mbovu bwana kila mtu anajipigia, kama tutaukosa ubingwa basi azam ndio chanzoAhaa, kumbe anayefungwa na hizo timu ulizoorodhesha ni dhaifu kumbe!
Nyie ndio mnaiangusha Simba yetuTakataka [emoji706][emoji706][emoji706]
Ihefu imefungwa na timu ngapi?Mkuu hii azam ni mbovu bwana kila mtu anajipigia, kama tutaukosa ubingwa basi azam ndio chanzo
Haijalishi lakini kama tukiukosa ubingwa jua ni kwa sababu tumepoteza point 4 kwa Azam. Hebu jaribu kufikiria izo point 4 tulizoacha kwa azam zingetusaidia kiasi gani? Yaani tungekuwa ni genuine contender wa title tofauti na ilivyo sasaIhefu imefungwa na timu ngapi?
basi 1-2Na bado Refa amewanyima Azam penalty ya wazi
Yaani hapo walikuwa wanaombea tufungwe,hatujafungwa,roho inawauma,wakati hata wao wakichezaga na sisi wakitoa droo wanashangiliaAsee mbna mnahangaika sana
Tayari mmesha ukosa MkuuMkuu hii azam ni mbovu bwana kila mtu anajipigia, kama tutaukosa ubingwa basi azam ndio chanzo
Shangaa nawew wachezaj wamechoka bado kocha anawaangalia waendelee kutembea uwanjani na timu haina matokeoTimu Yetu Haina Kocha Wa Viungo.
Labda anayemfahamu anitajie jina lake. Wachezaji wanachoka.
Anyways how comes top scorer wa Timu anakaa Bench Dakika 90 bila Kucheza huku Timu ina Struggle Kupata Magori?
Huenda Moo Aliona Hata akitoa hela zake kusajiri wachezaji Washambuliaji watakaa benchi
Ni jambo la ajabu sana kuona wanasimba kuanzia kocha mkuu wachezaj wa akiba na mahabiki wote wa Simba kushangilia sare dhidi ya timu dhaifu ya azam ambayo inafungwa na dodoma jiji, Ihefu, singida, kagera sugar, prison, Yanga, Kmc nk.
Yaani msimu huu tumeishia kupata point moja tu kutoka kwa timu dhaifu ya azam?
Ama kweli tunaelekea kwenye anguko kuu. Viongozi wote wajiuzulu na Mo atuachie timu yetu.
Simba nguvu moja[emoji123][emoji123]