Kama inabidi ufungue dirisha

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Chakula kinatupa nguvu, na mahitaji mengine yanayofanya uhai uendelee. Ni kawaida kutoa uchafu baada ya chakula tunachokula kutumika mwilini.

Kama ukienda chooni harufu inakuwa kali sana kiasi inabidi ufungue dirisha itabidi ubadilishe aina ya chakula unachokula. Ongeza matunda na mboga mboga pia ongeza kiasi cha maji unachokunywa.

 
Kama ukienda chooni harufu inakuwa kali sana kiasi inabidi ufungue dirisha itabidu ubadilishe aina ya chakula a nachokula. Ongeza matunda na mboga mboga pia ongeza kiasi cha maji unachokunywa.
sista sijaelewa, hii ni topic au ni comment ulikuwa unamjibu mtu?... maana naona ni kama ipo chini ya kiwango chako.
 
Ingependeza zaidi mkuu hiyo biashara ungeifanya wengi tungekutafuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…