Kama inawezekana double kick ipunguze asilimia ya kilevi chake

Kama inawezekana double kick ipunguze asilimia ya kilevi chake

SAUTI YAKO

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
2,944
Reaction score
2,032
Najua tumekuwa na siku ndefu ya huzuni katika shughuli ya kumpumzisha kipenzi chetu Hayati Dr JPM namshukuru Mungu tumemaliza shughuli salama jemedari apumzike kwa amani aluta continue.

Bila kuwapotezea muda nimekuwa mitaani na kushuhudia Jinsi kinywaji hiki kinavyopendwa na kununuliwa na vijana wengi,kwa kweli naona vichwa vya vijana wengi ni vyepesi Sana kiasi kwamba katika pita pita zangu ninaona watengenezaji wa kinywaji hiki wajaribu kupunguza asilimia fulani za ulevi ili wapenzi wa kinywaji hiki waweze kuhimili ulevi wake.

Naimani pombe hii pendwa watajaribu kufata ushauri wangu na kuufanyia kazi
 
Itakua umepiga ikakutoa nishai[emoji38]
 
Mzee acha kusingizia sijui vijana !!!

Hizi Mambo za vitoko, high Life, na jamii hio achana nazo!! Ni htr kwa afya
 
Ugali tembele halafu wanakunywa double kick.
 
Acha pombe usiwafundishe kaz.
Wenzio wanapenda hicho kiwango kilichopo
 
double kick ni kiboko tatu hukati fasta fasta
 
Kidukulilo kasema kuwa maskin hunywa sana ili wasahau shida zao 😂😂😂😂
 
yan juzi nimepiga hiyo kitu nastuka nipo mahabusu
dah aisee we acha tu niliimiss jf kimtindo
 
Watu tupo tofauti sana. Kuna pombe za ajabu mimi siwezi kunywa kabisa. Double kick, Robot, Livera na upuuzi mwingine wa aina hiyo siwezi kunywa kabisa. Kwanza ni pombe za vichochoroni.

Kwanini usigonge Kvant au nyagi kabisa? Hizi pombe zinazokuja kwenye packege za plastic msipokuwa makini mtanyweshwa gongo yenye flecer za matunda.
 
Ebu tuache na Double Kick yetu we kunywa Spraiti ulale.
 
Ni hasara wapunguze volume ili badala ya kununua kimoja niwe nanunua viwili
 
Back
Top Bottom