Kama Jamhuri ilimuonea huruma Mbowe na ugaidi basi Mdee na wenzake wataachwa

Kama Jamhuri ilimuonea huruma Mbowe na ugaidi basi Mdee na wenzake wataachwa

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Si Jambo dogo kumzungumzia gaidi mbele ya Marekani, Uingereza, Ufaransa na wakakuelewa. Kwao gaidi hatakiwi kuishi.

Mbowe aliposhtakiwa na Ugaidi tuliona serikali za nchi hizo kufuatilia kwa karibu kesi hiyo na yote si kwa Sababu wanaipenda Sana CHADEMA au Mbowe ila ni kuhakikisha usalama wao. Ni aibu kubwa

Tuliona Jamhuri ikimuondolea aibu hiyo na kuamua kumsamehe, naamini kama Jamhuri ingeamua kuendelea na kesi hiyo Mbowe asingechomoka.Huruma za Jamhuri ni nyingi Sana.

Kipekee kabisa niliombe baraza kuu kuwaacha Mdee na wenzake ,Mdee ana mengi Sana ya kuzungumza hususani mabaya ya Mbowe na mkilazimisha aongee mtasema anatumwa sote tunajua Mbowe si msafi
 
Weka evidence ya kisheria juu ya madai yako ya hiyo kitu huruma!!
Mtu anayesaidiwa lazima akimbilie kwenda kumshukuru aliyemsaidia na ndicho Mbowe alichofanya kwenda kumshukuru Rais Samia. Hata Kama kusoma hujui hata picha huoni
 
Si Jambo dogo kumzungumzia gaidi mbele ya Marekani, Uingereza, Ufaransa na wakakuelewa. Kwao gaidi hatakiwi kuishi.

Mbowe aliposhtakiwa na Ugaidi tuliona serikali za nchi hizo kufuatilia kwa karibu kesi hiyo na yote si kwa Sababu wanaipenda Sana CHADEMA au Mbowe ila ni kuhakikisha usalama wao. Ni aibu kubwa

Tuliona Jamhuri ikimuondolea aibu hiyo na kuamua kumsamehe, naamini kama Jamhuri ingeamua kuendelea na kesi hiyo Mbowe asingechomoka.Huruma za Jamhuri ni nyingi Sana.

Kipekee kabisa niliombe baraza kuu kuwaacha Mdee na wenzake ,Mdee ana mengi Sana ya kuzungumza hususani mabaya ya Mbowe na mkilazimisha aongee mtasema anatumwa sote tunajua Mbowe si msafi
Acha utopolo wee shoga! khaa unaandika kama unashusha kimba!! Nani alimhurumia nani?
 
Si Jambo dogo kumzungumzia gaidi mbele ya Marekani, Uingereza, Ufaransa na wakakuelewa. Kwao gaidi hatakiwi kuishi.

Mbowe aliposhtakiwa na Ugaidi tuliona serikali za nchi hizo kufuatilia kwa karibu kesi hiyo na yote si kwa Sababu wanaipenda Sana CHADEMA au Mbowe ila ni kuhakikisha usalama wao. Ni aibu kubwa

Tuliona Jamhuri ikimuondolea aibu hiyo na kuamua kumsamehe, naamini kama Jamhuri ingeamua kuendelea na kesi hiyo Mbowe asingechomoka.Huruma za Jamhuri ni nyingi Sana.

Kipekee kabisa niliombe baraza kuu kuwaacha Mdee na wenzake ,Mdee ana mengi Sana ya kuzungumza hususani mabaya ya Mbowe na mkilazimisha aongee mtasema anatumwa sote tunajua Mbowe si msafi
Hapakuwa na huruma hapa. Hata mawakili wa Upande wa Jamhuri walijua hapakuwa na ugaidi wowote. Nenda Somalia kasikilizie Ugaidi ndiyo uje hapa. Mnakuja hapa kuzungumza uharo. Leta mambo yenye akili siyo uharo unaonuka kutulazimisha tuanze kuvaa barakoa tena , tushasahau
 
Si Jambo dogo kumzungumzia gaidi mbele ya Marekani, Uingereza, Ufaransa na wakakuelewa. Kwao gaidi hatakiwi kuishi.

Mbowe aliposhtakiwa na Ugaidi tuliona serikali za nchi hizo kufuatilia kwa karibu kesi hiyo na yote si kwa Sababu wanaipenda Sana CHADEMA au Mbowe ila ni kuhakikisha usalama wao. Ni aibu kubwa

Tuliona Jamhuri ikimuondolea aibu hiyo na kuamua kumsamehe, naamini kama Jamhuri ingeamua kuendelea na kesi hiyo Mbowe asingechomoka.Huruma za Jamhuri ni nyingi Sana.

Kipekee kabisa niliombe baraza kuu kuwaacha Mdee na wenzake ,Mdee ana mengi Sana ya kuzungumza hususani mabaya ya Mbowe na mkilazimisha aongee mtasema anatumwa sote tunajua Mbowe si msafi
You are stupid
 
Si Jambo dogo kumzungumzia gaidi mbele ya Marekani, Uingereza, Ufaransa na wakakuelewa. Kwao gaidi hatakiwi kuishi.

Mbowe aliposhtakiwa na Ugaidi tuliona serikali za nchi hizo kufuatilia kwa karibu kesi hiyo na yote si kwa Sababu wanaipenda Sana CHADEMA au Mbowe ila ni kuhakikisha usalama wao. Ni aibu kubwa

Tuliona Jamhuri ikimuondolea aibu hiyo na kuamua kumsamehe, naamini kama Jamhuri ingeamua kuendelea na kesi hiyo Mbowe asingechomoka.Huruma za Jamhuri ni nyingi Sana.

Kipekee kabisa niliombe baraza kuu kuwaacha Mdee na wenzake ,Mdee ana mengi Sana ya kuzungumza hususani mabaya ya Mbowe na mkilazimisha aongee mtasema anatumwa sote tunajua Mbowe si msafi
Cc johnthebaptist
 
Acha utopolo wee shoga! khaa unaandika kama unashusha kimba!! Nani alimhurumia nani?

Moderator Please tuwe serious Kwa watu ambao wanaongea lugha za Aina hii, hapa sio FB au Badoo
 
Wakisamehewa nitajua kuwa CHADEMA ni Chama cha hovyo kabisa.
 
Mtu anayesaidiwa lazima akimbilie kwenda kumshukuru aliyemsaidia na ndicho Mbowe alichofanya kwenda kumshukuru Rais Samia. Hata Kama kusoma hujui hata picha huoni
Hujajib swal langu, tafadhali jibu kulingana na swali langu!!
 
Si Jambo dogo kumzungumzia gaidi mbele ya Marekani, Uingereza, Ufaransa na wakakuelewa. Kwao gaidi hatakiwi kuishi.

Mbowe aliposhtakiwa na Ugaidi tuliona serikali za nchi hizo kufuatilia kwa karibu kesi hiyo na yote si kwa Sababu wanaipenda Sana CHADEMA au Mbowe ila ni kuhakikisha usalama wao. Ni aibu kubwa

Tuliona Jamhuri ikimuondolea aibu hiyo na kuamua kumsamehe, naamini kama Jamhuri ingeamua kuendelea na kesi hiyo Mbowe asingechomoka.Huruma za Jamhuri ni nyingi Sana.

Kipekee kabisa niliombe baraza kuu kuwaacha Mdee na wenzake ,Mdee ana mengi Sana ya kuzungumza hususani mabaya ya Mbowe na mkilazimisha aongee mtasema anatumwa sote tunajua Mbowe si msafi
kilaza ktk ubora wako
 
Si Jambo dogo kumzungumzia gaidi mbele ya Marekani, Uingereza, Ufaransa na wakakuelewa. Kwao gaidi hatakiwi kuishi.

Mbowe aliposhtakiwa na Ugaidi tuliona serikali za nchi hizo kufuatilia kwa karibu kesi hiyo na yote si kwa Sababu wanaipenda Sana CHADEMA au Mbowe ila ni kuhakikisha usalama wao. Ni aibu kubwa

Tuliona Jamhuri ikimuondolea aibu hiyo na kuamua kumsamehe, naamini kama Jamhuri ingeamua kuendelea na kesi hiyo Mbowe asingechomoka.Huruma za Jamhuri ni nyingi Sana.

Kipekee kabisa niliombe baraza kuu kuwaacha Mdee na wenzake ,Mdee ana mengi Sana ya kuzungumza hususani mabaya ya Mbowe na mkilazimisha aongee mtasema anatumwa sote tunajua Mbowe si msafi
hahaha. serikali ya USA Imemruhusu gaidi kuingia state na kuhutubia kama unahisi mwafrika anajua ugaidi kuliko mzungu mwambie MAKONDA asongelee hata ubalozi wa US Pale oystabay uone kitakacho mkuta
Mnaleta siasa za kishamba kuwasingizia watu ubaya ndo mana mkalipwa hapahapa duniani unaikumbuka march 17?
the grief and relief by shivj
 
Back
Top Bottom