Kama Jamii ni hatua gani tunachukua kuhusu uozo ulioandikwa na Eric Kabendera

Kama Jamii ni hatua gani tunachukua kuhusu uozo ulioandikwa na Eric Kabendera

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Kwa wiki sasa nimekuwa ninasikiliza historia za viongozi madikteta Afrika. Nimesikiliza jinsi walivyoua na kunyanganya uhuru wa watu. Nimesikiliza kuhusu Samuel Doe, Iddi Amin Dada, Mobutu na madikteta wengi sana. Kwa kweli roho imeniuma sana viongozi wanaoaminika na kupewa madaraka na badala yake wanageuka na kuwa wauaji.

Mambo haya yanatajwa kutokea kwetu lakini kwa kiwango kidogo ukilinganisha na unyama walioufanya kina Mobutu. Katika kutafakari hilo nikajikuta namsikiliza kwa kina Eric Kabendera akisema kuhusu John Magufuli.

Lakini kama Jamii tunafanyaje? Je hiki kitabu tunakiacha kipite hivihivi? Tunaanzia wapi?
Taratibu zetu za kuwapata viongozi ziweje ili zipate kuchuja viongozi wa hovyo wenye kila dalili za kuvuruga nchi? Kuna vetting katika kuwapata viongozi wakubwa? Kama zipo ilikuwaje Magufuli akawa Rais pamoja na historia yake na uongozi na maisha binafsi kuwa na ukakasi?

Ipo mikakati ya Tundu Lissu na CHADEMA kuhusu vuguvugu la Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya. Je, ndio mahali sahihi pa kuanzia?

Natoa Hoja
 
Kwa wiki sasa nimekuwa ninasikiliza historia za viongozi madikteta Afrika. Nimesikiliza jinsi walivyoua na kunyanganya uhuru wa watu. Nimesikiliza kuhusu Samuel Doe, Iddi Amin Dada, Mobutu na madikteta wengi sana. Kwa kweli roho imeniuma sana viongozi wanaoaminika na kupewa madaraka na badala yake wanageuka na kuwa wauaji.

Mambo haya yanatajwa kutokea kwetu lakini kwa kiwango kidogo ukilinganisha na unyama walioufanya kina Mobutu. Katika kutafakari hilo nikajikuta namsikiliza kwa kina Eric Kabendera akisema kuhusu John Magufuli.

Lakini kama Jamii tunafanyaje? Je hiki kitabu tunakiacha kipite hivihivi? Tunaanzia wapi?

Ipo mikakati ya Tundu Lissu na CHADEMA kuhusu vuguvugu la Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya. Je, ndio mahali sahihi pa kuanzia?

Natoa Hoja
Mimi nadhani tuanze na kichwa chako halafu tuende kwa Kabendera
 
Kwa wiki sasa nimekuwa ninasikiliza historia za viongozi madikteta Afrika. Nimesikiliza jinsi walivyoua na kunyanganya uhuru wa watu. Nimesikiliza kuhusu Samuel Doe, Iddi Amin Dada, Mobutu na madikteta wengi sana. Kwa kweli roho imeniuma sana viongozi wanaoaminika na kupewa madaraka na badala yake wanageuka na kuwa wauaji.

Mambo haya yanatajwa kutokea kwetu lakini kwa kiwango kidogo ukilinganisha na unyama walioufanya kina Mobutu. Katika kutafakari hilo nikajikuta namsikiliza kwa kina Eric Kabendera akisema kuhusu John Magufuli.

Lakini kama Jamii tunafanyaje? Je hiki kitabu tunakiacha kipite hivihivi? Tunaanzia wapi?
Taratibu zetu za kuwapata viongozi ziweje ili zipate kuchuja viongozi wa hovyo wenye kila dalili za kuvuruga nchi? Kuna vetting katika kuwapata viongozi wakubwa? Kama zipo ilikuwaje Magufuli akawa Rais pamoja na historia yake na uongozi na maisha binafsi kuwa na ukakasi?

Ipo mikakati ya Tundu Lissu na CHADEMA kuhusu vuguvugu la Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya. Je, ndio mahali sahihi pa kuanzia?

Natoa Hoja
Screenshot_20250202-135542.jpg
Screenshot_20250202-135606.jpg
Screenshot_20250202-135632.jpg
Screenshot_20250202-135657.jpg
Screenshot_20250202-135722.jpg
Screenshot_20250202-135747.jpg
Screenshot_20250202-135806.jpg
Screenshot_20250202-135825.jpg
 
Kwa wiki sasa nimekuwa ninasikiliza historia za viongozi madikteta Afrika. Nimesikiliza jinsi walivyoua na kunyanganya uhuru wa watu. Nimesikiliza kuhusu Samuel Doe, Iddi Amin Dada, Mobutu na madikteta wengi sana. Kwa kweli roho imeniuma sana viongozi wanaoaminika na kupewa madaraka na badala yake wanageuka na kuwa wauaji.

Mambo haya yanatajwa kutokea kwetu lakini kwa kiwango kidogo ukilinganisha na unyama walioufanya kina Mobutu. Katika kutafakari hilo nikajikuta namsikiliza kwa kina Eric Kabendera akisema kuhusu John Magufuli.

Lakini kama Jamii tunafanyaje? Je hiki kitabu tunakiacha kipite hivihivi? Tunaanzia wapi?
Taratibu zetu za kuwapata viongozi ziweje ili zipate kuchuja viongozi wa hovyo wenye kila dalili za kuvuruga nchi? Kuna vetting katika kuwapata viongozi wakubwa? Kama zipo ilikuwaje Magufuli akawa Rais pamoja na historia yake na uongozi na maisha binafsi kuwa na ukakasi?

Ipo mikakati ya Tundu Lissu na CHADEMA kuhusu vuguvugu la Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya. Je, ndio mahali sahihi pa kuanzia?

Natoa Hoja
Sijakuelewa sehemu moja mbona kichwa na Mada ni vitu viwili tofauti....Yaani lengo lako ww ni lipi
 
Kwa wiki sasa nimekuwa ninasikiliza historia za viongozi madikteta Afrika. Nimesikiliza jinsi walivyoua na kunyanganya uhuru wa watu. Nimesikiliza kuhusu Samuel Doe, Iddi Amin Dada, Mobutu na madikteta wengi sana. Kwa kweli roho imeniuma sana viongozi wanaoaminika na kupewa madaraka na badala yake wanageuka na kuwa wauaji.

Mambo haya yanatajwa kutokea kwetu lakini kwa kiwango kidogo ukilinganisha na unyama walioufanya kina Mobutu. Katika kutafakari hilo nikajikuta namsikiliza kwa kina Eric Kabendera akisema kuhusu John Magufuli.

Lakini kama Jamii tunafanyaje? Je hiki kitabu tunakiacha kipite hivihivi? Tunaanzia wapi?
Taratibu zetu za kuwapata viongozi ziweje ili zipate kuchuja viongozi wa hovyo wenye kila dalili za kuvuruga nchi? Kuna vetting katika kuwapata viongozi wakubwa? Kama zipo ilikuwaje Magufuli akawa Rais pamoja na historia yake na uongozi na maisha binafsi kuwa na ukakasi?

Ipo mikakati ya Tundu Lissu na CHADEMA kuhusu vuguvugu la Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya. Je, ndio mahali sahihi pa kuanzia?

Natoa Hoja
Kuna uzi wangu humu umeeleza kukamatwa kwa Kamati Kuu ya CCM , kwa kumpitisha Magufuli kugombea Urais huku wakimjua kwamba hayuko vizuri kichwani.

Nimependekeza wa kukamatwa mapema kabisa ni Jakaya Kikwete na Kinana maana ndio walikuwa viongozi wa juu wa ccm na walimjua Jiwe nje ndani
 
Hicho kitabu umekisoma? kama ndio kiweke humu na sisi tukisome.
 
Lengo langu ni wananchi wachukue hatua za kuthibiti wasitokee aina ya viongozi waliotajwa kwenye Kitabu cha Eric
Hilo ni gumu,huoni ata sehemu kama Ibadan wapo washirikina na ni viongozi wakubwa Tu ,sidhani kama tutapata kiongoz mkamilifu ila tujitahidi kujenga kizazi imara tupate Watu madhubuti
 
Kama kabendera angeandika aliyoandika kumhusu mtu wa karibu labda mzazi yote ungesema ni uongo ila kwa sababu yameandikwa kumhusu mzazi au wazazi wengine basi moja kwa moja unaamini ni kweli bila kuthibitisha. Hii ndo Tanzania
 
Kwa hiyo hii ndio mbinu mnatumia kutangaza kitabu hicho?

Siku zote kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza. Hayati Magufuli atabaki kipenzi cha wazalendo na watanzania wote.

Nyie wapinzani badala ya kujenga hoja na kukua kisiasa kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao mmebaki kugombana na marehemu! Jamii ya kitanzania ina mengi ya kufanya na si huo ulofa wenu. Isitoshe CCM ishajihakikishia ushindi mwezi wa kumi na nyie mnaimba mapambio ya chuki na unafiki tu.
 
Back
Top Bottom