Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
- Thread starter
-
- #21
Wazee wa safari na muzikimie saint kayumba najiona mimi day routine on foot buda, we change accordingly
Huyu atakua kilanja wa DH
Kumbe na Mimi nipo nipo
Umeniuzi sana kwa kuacha ile slogan yako ya cc @mahandowInapendeza sana... Ngoja waje kutoa miongozo...
Inasikitisha sana...Umeniuzi sana kwa kuacha ile slogan yako ya cc @mahandow
Nimekuwahi hasaKumbe na Mimi nipo nipo
Sema umeniwahi ningekutaja hapa.
Gentamycine angekuwa anakula fimbo Kila siku Kwa kuchelewa kuhesabu namba.JF Stand up, put your hands up
Kuna watu umu wamekua na consistence yakuepo (online) na kuwa wachangiaji wazuri katika nyuzi mbali mbali hapa chamani kwetu JF. Members hawa wenzetu kiukweli wana-keep the place alive.
Binafsi Smart911 namwona ni JF Member ambaye yupo JF boarding( ila tu kama JF ingekua ni shule).
Wangu mimi ni huyu, wewe nani mara zote uwa unamauona online( JF boarding). M-metion ajue kuwa unamuona unamuona ~ suddybrown voice
joseph1989 brother flani wa celebrity forums, makini sana β
CONTROLA nyuzi za biashara anajitahidi kuzitendea haki, brother mwenye moyo flani wa peke yake
Joanah hardcore girl, kwa hii Era naona anaitendea haki
Kasie one of my favorite female personality ya Jf of all time π
RRONDO jamaa flani realistic, namuheshimu kwa hilo
Kuna wengi huwezi hata mention wote.
Kila mtu ana space yake humu
πππMmuaaah mmmuuuahhh mwaaah....ππππ.
πππ
πππ huyu rafiki yangu yupo sema jina analotumia gumu sana hata silikumbukiHappy Sunday Eyce.
Msalimie yule rafiki yako amepoteaaa.....
And, nimekumbuka ulifanikiwa kukutana na familia yako (siblings) hata via online ?
It was on one of Paula Paul threads....