Kama Jay dee anajua kuiga, aige na hili basi!!

Jospina

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2,421
Reaction score
1,395
Mwanamziki Nguli Mwana Fa aka BINAMU, ametangaza kutoa asilimia 15 ya mapato yake kwa familia ya marehemu Ngwea. kwavile mwanamziki JIDE anapenda kuiga kila anachofanya Mwana FA, aige na hili basi maana hili ni jambo positive saana!
 
mapato yake yote kivipi tangia aanze kulelewa na gwamaka kaiula gk pale upanga? funguka we domo kaya ueleweke sawa.
 
Upuuzi...ana mapato kiasi gani? 15% inaweza kuwa 50,000/-
Hamna habari hapa!
 
Anatoa za nini? this is very interesting au ndio anapiga promo ya tamasha lake.
 
Atakuwa ni Ru-gay anajisafisha aonekane anajali wafu. Pole toilet paper(mwanafatuma)
 
Mwanamziki Nguli Mwana Fa aka BINAMU, ametangaza kutoa asilimia 15 ya mapato yake kwa familia ya marehemu Ngwea. kwavile mwanamziki JIDE anapenda kuiga kila anachofanya Mwana FA, aige na hili basi maana hili ni jambo positive saana!

jinsia yako tafadhali............cz umekaa kimbeaa na kipashkuna.
 
jide hana akili ya kuangalizia kama yako we demu wa hamisi anayejiita mwanafalsafa huku amesoma biashara .nyambafu mkubwa wewe
 
Alivyo mbahili vile hawezi.Ivi unajua kwamba hata mumwewe kitendo cha kuwa meneja wake anamlipa kaki 3 zingine kibindoni..Ndo mana baba wa watu hujitafutia u m c hata BILICANAS na sehemu zingine ili ajiongezee kipato.Kumbuka ana mtoto na wazazu,atashtuka tu kwamba alipo,,,,,,,,,,,,Nani kajinyonga!
 
FA anafanya promosheni tu hakuna kwenda na ela atoe
 
Kwani wanaigana katika mambo wanayofanya?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
huu ni unafiki tuu huyo ngwea walishindwa kumsaidia akiwa hai leo ndio wanaona umuhimu wa familia yake akiwa amekufa.
Hapa wanafanya promo tuu na kutafuta sifa tuu wakati hata show ngwea walikuwa hawamtafutii.

unafiki wa hali ya juu huu
 
jide hana akili ya kuangalizia kama yako we demu wa hamisi anayejiita mwanafalsafa huku amesoma biashara .nyambafu mkubwa wewe

tuko pamoja, mwana FA ni Kati ya wasanii manguli kwangu.
Lakini kwa sasa namuona kama ni zaidi ya condom.

Kinachonikera ni Kati wachache walioenda shule lakini bado hajitambui.!!!
 
Huu ndio ushakunaku umewai kuopolewa na Gadna akakwambia analipwa laki tatu.?
 
Mwanamziki Nguli Mwana Fa aka BINAMU, ametangaza kutoa asilimia 15 ya mapato yake kwa familia ya marehemu Ngwea. kwavile mwanamziki JIDE anapenda kuiga kila anachofanya Mwana FA, aige na hili basi maana hili ni jambo positive saana!

aige nin sasa hapa! Kwani kumsaidia mtu ni lazima utangaze! Uyo fa kafanya unafiki hakuna dini inayoruhusu kutangaza misaada! Bado mwanafatuma ni snitch 2! We utajuaje kama tayari kashatoa zaidi ya io asilimia 15.
 
Mwanamziki Nguli Mwana Fa aka BINAMU, ametangaza kutoa asilimia 15 ya mapato yake kwa familia ya marehemu Ngwea. kwavile mwanamziki JIDE anapenda kuiga kila anachofanya Mwana FA, aige na hili basi maana hili ni jambo positive saana!

aige nin sasa hapa! Kwani kumsaidia mtu ni lazima utangaze! Uyo fa kafanya unafiki hakuna dini inayoruhusu kutangaza misaada! Bado mwanafatuma ni snitch 2! We utajuaje kama tayari kashatoa zaidi ya io asilimia 15.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…