Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

Acha upumbavu hamko juu ya sheria Fala mkubwa wewe. Unajiona kidume ukiwa kambini? Toka huko ukomeshwe kama Lt Muna.
 
Hivi kwanini mkuu wa jeshi, waziri wa ulinzi hata raisi wasitoe tamko kuu, mwanajeshi au wanajeshi kujichukulia Sheria mkononi kwa kutesa raia ukipatikana na kosa ilo ni kufukuzwa kazi moja kwa moja, wanawalea ndo hayo yanayotokea mitaani.
 
Hao jamaa wa bodaboda wajue mkuki kwa nguruwe.... wao wanatabia ya kupiga mtu yoyote akimkosea mwenzao hata kwa bahati mbaya wanatoa kipigo na serikali ilikuwa inawachilia tu na wao wacha wapokee kichapo cha makosa ya mwenzao washenzi sana tena sana hao vijiwe vya bodaboda. Navyoelewa kijiwe cha aliyetoka mwenzao muuwaji wote watakula kibano watajane wote. Mtu aliyeuwa mara moja hujui kafanya mangapi huko nyuma.
 
Baada ya kwenda kulinda mipakani na kulinda madini huko ya siibiwe wanawapiga raia wasio na hatia ama kweli tuna jeshi la hovyo sana
Wewe umejuaje kama hawana hatia? hii mitaa inatabia ya kufichana maovu na hivi vigenge vya bodaboda ni washirika wa maovu sasa watatajana tu na wengine wako wapi. Hawa kina Mama wengi wanaficha wahuni na kwakuwa wamekimbia basi kipigo kitawafanya watajane tu wamekimbilia wapi. Wewe hujui hawa vijiwe vya bodaboda wanayoyafanya.
 
Kwa matukio haya,sitashangaa wakipindua nchi....wanaanzaga hivi hivi.....
 
Kama wewe ni wa hiyo kazi basi haujitambui kabisa ya nini umpige raia kwa nini msiende hata kupigana Israel huko kazi yenu ni kuvimba vitambi na kufanya matanuzi mitaani na kukopa hovyo bila kulipa kutumia ubabe bila akili ni upuuzi kabisa ndo maana mnaua watu wasio na hatia huko kawe nyie si ndo mmeanza ukorofi
 
Sasa wewe, uanajeshi ni sale tu!!! Si kweli. Tatizo ni uongozi wao. Mwanajeshi alieiva,kamwe hawezi kusumbuana na raia kwa mambo ya kipuuzi na kijinga. Sawa,wakati mwingine hutokea mtu katabia kake ka utotoni ka ugomvi hakaishi. Huyo atasumbua tu. Mwanajeshi anaejitambua,wewe civilian,anakupa adhabu za jeshini ili iweje? Imsaidie nini? Akufundishe kitu gani?
Wanatakiwa wafundishwe kucontrol hisia zao. Mwanajeshi anaejitambua,kwanza kabisa anatakiwa awe mvumilivu,muoga na mpole kwa raia. Haya,alokufa kauliwa na mtu mmoja,na anajulikana. Kwa nini asisakwe muuaji? Hao wengine wanateswa ili iweje! Watu wazima,wamekosea nini? Na kama wanakaa mtaani,si kwamba jeshi halina uwezo wa kuwahudumia? Kitengo kinachohusika na maswala ya uraiani kina kazi gani? Mwanajeshi awapo uraiani,ana kila sababu za kukaa kama raia. Kuvimbisha mashavu,kutafanya watu wamdhalau badala ya kumheshimu. Na wajue wanaweka familia zao matatani! Mtu anaweza asimdhulu yeye,lakini kisasi alipize kwa familia yake. Ambayo hata haitambui maovu yake. Uongozi wao uhusike. Wakiwa wakalimu,waelewa na wataratibu,nani atawachukia?
Na jeshi bila raia,haliwezekani
 
Well said
 
Hatukatai wala kupinga umuhimu wa Majeshi,tunachopinga ni wao kuvunja sheria,mbona logic ya mleta mada iko wazi.watu wa aina yako ndo inafanya watu waamini kwamba huko wanaendaga failures kwa asilimia kubwa
 
Naunga mkono hoja πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Hao watumia nguvu wangewapiha hao hao bodaboda badi,kwa nn wawapige na raia wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…